Baada ya kudhuliwa Tundu Lissu: Imani yangu juu ya awamu ya tano imeshuka mpaka 25%

daaah KIPANGA hata spellings za neno UKARIMU HUJUI duuuh kweli chuo cha taiga kinatema vitu, kama una diploma hapo ulipo basi hongera.

Sent using Jamii Forums mobile app
diploma mzee unadhani ningeandika humu, jamii forum imejaa wasomi mkuu, nashangaa wewe na elimu yako ya UPE kuja kuandika uharo humu, akhsante kwa kunambia nimekosea spelling ntakua mwanaglifu next time usipate pa kukimbilia
 
diploma mzee unadhani ningeandika humu, jamii forum imejaa wasomi mkuu, nashangaa wewe na elimu yako ya UPE kuja kuandika uharo humu, akhsante kwa kunambia nimekosea spelling ntakua mwanaglifu next time usipate pa kukimbilia
kwa usomi gani mkuu? msomi hajitapi umemaliza diploma yako ya ualimu unasubir ajira mwaka wa ngapi sijui now, kuandika tupu shida unakuja kutusumbua, mixer kuandika herufi kubwa utadhan umeambiwa tunaumwa macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati yenu Hakuna Ambae Hataitwa Marehemu naona mnabishanaa kwa hoja uvundo sizizokuwa na mchujo wowoote... lkn damu ya Lissu iliyomwagikaa haitapotea hakikaa Mungu n Mwema hakufa. Na hata mkienda kumpiga Risasi zinginee.. Hatakufa piaa. Mungu ndo ajua ck na saa ya kumuita kwake na Wala sio nyie Wanadamu Mashetani.. mliovaaa utu wa Shetani mtafikir Mmezaliwaa na Wanyamaa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyefanya hili hakufanya mzaha. Alitaka amwondoe. Ni nani ana nia kubwa hivyo yakutaka kumwondoa? What is the motive?
 
Baki na
Imani ndiyo msingi wa Ushirika wa kiroho popote duniani.
Nilikuwa na imani kubwa sana hususani siku 100 za utawala wa awamu ya tano lakini mpaka sasa Imani imeyeyuka.

Mtu mwenye ushawishi, mbunge na rais wa TLS anasimama hadharani na kutoa taarifa juu ya watu wanaomfuatilia.

Vyombo husika havitoi ushirikiano wala kuchukua hatua mpaka anadhuliwa. Harafu anakuja Inspector General anasema ile taarifa aliitolea mkutanoni siyo police. Are you a rational figure?

Intelligence ya karne hii ni kufanya vitu proactively siyo reactively.

Kwa tukio hili nimebakiza asilimia 25% tu ya Imani yangu kwa awamu hii. Sijui wenzangu.



Kwa Hisani Ya Watu Wa Mbeya!
Baki na msaliti wenu
Sisi tupo na mzarendo wetu
Hadi 2015 tunampa Majariwa
Tafuta kamba ujinyonge mapema
 
NANI ANAJALI?
Kama hujali ni wewe peke yako....... Wenzako kwenye boti yenu wanajali sana ndio maana wana kazi ya kuweka watu lockup na sasa hivi wame advance kdg wameanza kupopoa wasio na imani nao kwa risasi

"A voice of one calling in the wildernes"
 
Hivi Mleta mada ni Mtanzania?

Kiswahili ni lugha yako ya Taifa?

"Kudhuliwa" ndiyo nini?
"Harafu" ndiyo nini?
 
Shukrani sana Mkuu nilikuwa kule utube namsikiliza yule jamaa ambaye links zake ukiweka humu zinafutwa. Kaongea tena kuhusu tukio la jana na kama kawaida yake amegonga pale pale. Kutazama pembeni naiona hii muonekano wake ukanivutia na nikaamua kuisikiliza. Ni mmoja ya zile nyimbo ambazo unazisikia mara ya kwanza. Nadhani nimeshaisikiliza zaidi ya mara 20,

Mkuu asante , sikuipata hii .
 
Aliyefanya hili hakufanya mzaha. Alitaka amwondoe. Ni nani ana nia kubwa hivyo yakutaka kumwondoa? What is the motive?
Aliyemwambie spika 'washughulikie huko na wakitoka huku tutapambana nao'....... Kwa lafudhi ya "ki PUSH"

"A voice of one calling in the wildernes"
 
Back
Top Bottom