Utakuta umetumia maufundi yako yote kumridhisha demu na yeye akafurahia sana tu kwa kumfikisha kunako ila hata siku moja hatokupa sifa/hatokushukuru kwa kunaniliu vizuri. Je kwanani wanawake mnakuwa wagumu kushukuru kwa kufanywa vizuri? Nawasilisha.
Gbollin,
Ukifanya vizuri lazima atoe shukrani ya dhati - Wasiwasi wangu ni kwamba wewe haujawahi kufanya vizuri!
Gbollin,
Ukifanya vizuri lazima atoe shukrani ya dhati - Wasiwasi wangu ni kwamba wewe haujawahi kufanya vizuri!
Utakuta umetumia maufundi yako yote kumridhisha demu na yeye akafurahia sana tu kwa kumfikisha kunako ila hata siku moja hatokupa sifa/hatokushukuru kwa kunaniliu vizuri. Je kwanani wanawake mnakuwa wagumu kushukuru kwa kufanywa vizuri? Nawasilisha.
eh jaman...
nidai chai na kitumbua kimoja..umenena vyema...
eh jaman...
nidai chai na kitumbua kimoja..umenena vyema...
Unaamanisha aseme THANK YOU FOR THIS USEFUL POST baada ya ku-do
Nipatie SAMBUSA na Kachiri badala yake - Chai ya Maziwa nishaanda!
utakuwa una under-perform ndio maana hawakugongei THANKSUtakuta umetumia maufundi yako yote kumridhisha demu na yeye akafurahia sana tu kwa kumfikisha kunako ila hata siku moja hatokupa sifa/hatokushukuru kwa kunaniliu vizuri. Je kwanani wanawake mnakuwa wagumu kushukuru kwa kufanywa vizuri? Nawasilisha.
Nipatie SAMBUSA na Kachiri badala yake - Chai ya Maziwa nishaanda!
kiongozi vipi?
sambusa iweke na chai iliyotiwa mchaichai,
chai ya maziwa sio kwake ati!!!!!!!!
hujambo shosti?
usisahau kababu zako,
ukifika muda wa kyai, nishtue, ninazo kibao!!!!!
Utakuta umetumia maufundi yako yote kumridhisha demu na yeye akafurahia sana tu kwa kumfikisha kunako ila hata siku moja hatokupa sifa/hatokushukuru kwa kunaniliu vizuri. Je kwanani wanawake mnakuwa wagumu kushukuru kwa kufanywa vizuri? Nawasilisha.
Hapa nabisha, kama unapigaga bao vizuri atakwambia asante au polee.
Neno ulilolitumia hapo kwenye bold si stahiki na linadhalilisha. Na kuhusu kushukuriwa nadhani ni swala la kinadharia zaidi. Wewe unaweza kuona umejitahidi kumridhisha mwenza lakini kumbe hujafikia ufundi wa aliekutangulia kwanza kwahiyo juhudi zaidi zinatakiwa unapokutana nae wakati unaofuata. Wanawake wengi husadiki na hupongeza wanapofikishwa wanapohitaji kufika ukiona kimya ujue hujafanikiwa kumfikisha pale anapohitaji.