Kwa wajuvi wa mambo hii inaashiria nini.
MY TAKE:
Labda kama hizi twitter ni fake lkn kama siyo fake, Hii si dalili njema kwa mstakabali wa umoja na mshikamano ndani ya chama. Hata kama yuko sahihi Bashe ame misbehave, ame over react, aelewe huyo ni kama mzazi wake na ni kiongozi wake kichama aliyewahi kushika top office nchini.