Baada ya IPTL na Richmond, ipi inafuata?

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Nov 24, 2012
2,977
1,897
Tatizo la kuisha maji katika mabwawa ya kuzalisha umeme kumezaa makampuni ya umeme wa dharura ambayo mpaka Leo yapo Richa ya kupachikwa jina la Migenerator ya dharura. Historia inaonyesha kutokana na Tatizo hili la umeme kutazaliwa tena mitambo mingine ya kifisadi? Je nilini tutatatua Tatizo la umeme Nakuachana Na mitambo ya dharura? Maana kwasasa tupo gizani
 
hah hah ukoo wa panya lazma utafute chaka la kulipizia pesa zao kwa magufuli
 
Tatizo la umeme lingelikwisha na bei ingelikuwa chini kwa wateja kama haya majenereta yangelikuwa mali ya Tanesco.Lakini majenereta haya ni mali ya watu binafsi wanaoiuzia Tanesco umeme huku nao wakinunua gesi kwa makampuni binasi ya wenye gesi. Wakati mwingine wanadaiwa na wenye gesi huku nao wakiwa wanaidai Tanesco. Hata sasa tunasema kuwa tuna gesi yetu lakini ukweli si yetu. Ni mali ya makampuni fulani yanayouza gesi hiyo kwa wamiliki fulani wa majenereta ambao huizia Tanesco umeme. Tenesco wanamiliki mitambo ile ya maji (Hydro). Ni mpaka pale mitambo itakapokuwa inamilikiwa na Tanesco ndo tutarajie mabadiliko!
 
BAADA YA IPTL NA RICHMOND Kifuatacho kinaendelea propaganda za ccm kumchagua pombe mwenye makufuri ya kufungulia maji mtera umeme uje kwa wingi nw mafurika ya ges akichaguliwa tu
 
Tatizo la umeme lingelikwisha na bei ingelikuwa chini kwa wateja kama haya majenereta yangelikuwa mali ya Tanesco.Lakini majenereta haya ni mali ya watu binafsi wanaoiuzia Tanesco umeme huku nao wakinunua gesi kwa makampuni binasi ya wenye gesi. Wakati mwingine wanadaiwa na wenye gesi huku nao wakiwa wanaidai Tanesco. Hata sasa tunasema kuwa tuna gesi yetu lakini ukweli si yetu. Ni mali ya makampuni fulani yanayouza gesi hiyo kwa wamiliki fulani wa majenereta ambao huizia Tanesco umeme. Tenesco wanamiliki mitambo ile ya maji (Hydro). Ni mpaka pale mitambo itakapokuwa inamilikiwa na Tanesco ndo tutarajie mabadiliko!

Kumbe nchi ipo tayari kukombolewa hebu elimisha hili kwa watu 100 wengine
 
BAADA YA IPTL NA RICHMOND Kifuatacho kinaendelea propaganda za ccm kumchagua pombe mwenye makufuri ya kufungulia maji mtera umeme uje kwa wingi nw mafurika ya ges akichaguliwa tu

But kuna umeme wa dharura mwingine kiboko Yao chini ya magufuri
 
Back
Top Bottom