Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Umaarufu wa Mkuu wa Kaya umejengwa zaidi na fukuzafukuza na si kitu kingine chochote.
Mpaka sasa sijasiki sifa au pongezi zinazotokana na uongozi bora,siasa safi,kujenga uchumi bora,kuonyesha muelekeo wa kuboresha maisha ya watu, n.k.
Sasa ili aendelee kubaki kwenye chati, atahamishia majeshi wapi,Je ,atageukia kwenye chama?Akimaliza na huko, ataegeukia wapi kama sio kwa wateule wake mwenyewe?
Baada ya yote hayo,tutarajie reshuffle za kufa mtu maana ndio kitu pekee kitakachokuwa kimebaki.
Mpaka sasa sijasiki sifa au pongezi zinazotokana na uongozi bora,siasa safi,kujenga uchumi bora,kuonyesha muelekeo wa kuboresha maisha ya watu, n.k.
Sasa ili aendelee kubaki kwenye chati, atahamishia majeshi wapi,Je ,atageukia kwenye chama?Akimaliza na huko, ataegeukia wapi kama sio kwa wateule wake mwenyewe?
Baada ya yote hayo,tutarajie reshuffle za kufa mtu maana ndio kitu pekee kitakachokuwa kimebaki.