kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,890
Nawaza sana juu ya yanayoendelea
Tazameni Msumbiji hali ilivyo.
Hata sielewi ISIS wana maslahi gani hadi waende Msumbiji wavuke nchi zote hizo.
Huko Ethiopia mambo sio shwari ndo kwanza walikua wameanza kupaa kiuchumi japo walianza na maendeleo ya vitu kitu ambacho sio sahihi sana unapaswa ubalance vyote viwili.
Na hapo linalotafutwa na lile bwawa tu libomolewe maana ule ndo mradi mkubwa wa umeme Afrika na Waziri Mkuu wao ni kibaraka, tena double agent!
Na sisi lile bwawa la Rufiji (refer history yake) nalo limepigwa vita sana sitaki niwe mnafiki kwa hili ule mradi ni muhimu na wa manufaa na tija kubwa sana kwa taifa yaani sio muungaji mkono wa huu utawala kwa mambo wanayotenda kwa asilimia 95 ila kwa huu mradi walau nawapa 5% ya kuwakubali.
Sasa baada ya Ethiopia who is next kama sio sisi Tanzania. Yes ukitafakari sana utaona ni sisi
Na udhaifu mkubwa ni watawala wetu kungalikua na fair nchi hii zingekuja changamoto tungelikabilana nazo sote lakini sasa nchi imekatika vipande vipande dhulma imetamalaki nchini.
Naihurumia sana Mama Tanzania kwa siku zijazo uroho wa watu wachache utatufanya tuwe na disunity katika kupambana na mambo ya siku za usoni.
Ningeandika mengi naomba niishie hapa.
Tafakari kwa makini hili bandiko langu
Tazameni Msumbiji hali ilivyo.
Hata sielewi ISIS wana maslahi gani hadi waende Msumbiji wavuke nchi zote hizo.
Huko Ethiopia mambo sio shwari ndo kwanza walikua wameanza kupaa kiuchumi japo walianza na maendeleo ya vitu kitu ambacho sio sahihi sana unapaswa ubalance vyote viwili.
Na hapo linalotafutwa na lile bwawa tu libomolewe maana ule ndo mradi mkubwa wa umeme Afrika na Waziri Mkuu wao ni kibaraka, tena double agent!
Na sisi lile bwawa la Rufiji (refer history yake) nalo limepigwa vita sana sitaki niwe mnafiki kwa hili ule mradi ni muhimu na wa manufaa na tija kubwa sana kwa taifa yaani sio muungaji mkono wa huu utawala kwa mambo wanayotenda kwa asilimia 95 ila kwa huu mradi walau nawapa 5% ya kuwakubali.
Sasa baada ya Ethiopia who is next kama sio sisi Tanzania. Yes ukitafakari sana utaona ni sisi
Na udhaifu mkubwa ni watawala wetu kungalikua na fair nchi hii zingekuja changamoto tungelikabilana nazo sote lakini sasa nchi imekatika vipande vipande dhulma imetamalaki nchini.
Naihurumia sana Mama Tanzania kwa siku zijazo uroho wa watu wachache utatufanya tuwe na disunity katika kupambana na mambo ya siku za usoni.
Ningeandika mengi naomba niishie hapa.
Tafakari kwa makini hili bandiko langu