Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

Hata kama Tanzania ndiyo ya kwanza ndugu Mimi nimependa kuona wahusika ndiyo wameamka sasa na kuanza kujipanga na kuongea ni aibu sana kwa Taifa na hasa vyombo vyetu vilivyopewa dhamana ya kushughulika na madawa ya kulevya baada ya Makonda kupiga kelele kidogo tu...walikuwa wapi??

Hii biashara kuna watu wananufaika nayo na hawana moyo dhati kushughulikia.
 
Makonda siyo wa kwanza kupiga kelele na pia kelele ni za kuwasaidia watuhumiwa ku jihami. Na pia kelele zenyewe zinachagua
 
Makonda siyo wa kwanza kupiga kelele na pia kelele ni za kuwasaidia watuhumiwa ku jihami. Na pia kelele zenyewe zinachagua
Makonda angekuwa ni Mexico leo hii angekuwa tajiri kuliko alivyokuwa sasa maana wauza unga wangemshukuru sana kwa kuwasaidia kujificha na kukimbia, kubuni mbinu mpya za kufanya biashara.
 
Sasa kaja na Sinema kali, kumwambia Masogange ajipeleke polisi asachiwe apimwe kisha mahakama iseme hana Hatia ili kumsaficha Makonda, Tanzania ni Nchi ya vioja safari hii GSM watafirisika kwa kugharamia usafi juu ya makonda wapo busy na vyeti feki ( Daud Albert) na sasa masogange na bado kesi za fidia ambazo wanasheria wapo mbioni kuziwasilisha mahakamani , huku kamati za Ufundi toka Gambia, Congo, msumbiji na Gamboshi wakiwa busy nyumbani kwa makonda.
 
Makonda siyo wa kwanza kupiga kelele na pia kelele ni za kuwasaidia watuhumiwa ku jihami. Na pia kelele zenyewe zinachagua
Zimechagua wale maadui zake na kuwaacha rafiki zake huku zikiwasaidia kuficha ushahidi na wengine kukimbia Nchi na kubuni mbinu mpya ya kusambaza unga.
 
Kwa mkurupuko anaofanya...kijana yule hashindwi kupata Zero kidato cha NNE na kwakukaba wazee kijanayule hashindwi kununua cheti cha mtu na kwakumwita askofu Gwajima na kumpima kuhusu madawa hashindwi kudanganya!!
Kule kwa mkemia mkuu kawanunua wote yy ndiyo anapanga matokeo yaweje, kipimo sahihi kitakuwa kwa Mchepuko wake masogange hapo ndipo utajua kuwa wapimaji wa kwa mkemia mkuu si malaika toka mbinguni.
 
Hii nchi ina viongozi ambao vyeti vyao na elimu zao zinahojiwa mara kwa mara bila serikali kutoa majibu. Naiomba serikali kupitia wizara ya elimu, NECTA, na TCU kuhakiki elimu za viongozi mbalimbali wa serikali...
 

jitokeze uthibitishe Mkuu sio Mitandaoni tu kuwa ni kweli...! Vinginevyo ni majungu tu ya wauza sembe.
 
Mkulu atamuokoa kwani neno la Mkulu ni amri
 
Na hiyo mandhari alipopigia pigia picha mheshimiwa inahusiana nini na issue ya elimu ya mkuu? Akili za mtanzania hata akizaliwa Islael hazibadiriki...hata kupika majungu kisasa hatuwezi japo tunayapenda sana!
Mkuu wewe ni mnyonge kwenye nini?
Nani alikufanya kua mnyonge?
 
Inabidi amlipe fidia jamaa kwa matumizi mabaya ya jina lake.
 
Sasa wewe paskali mwandishi wa habari za uchunguzi wewe binafs ni uchunguzi gani umeufanya kubainaisha hilo??
Maana naona ume attach habari zilizo fanyiwa uchunguzi na watu wengine
Leta kile ulichokifanya wewe...
Nili tegemea uje na habari kuwa umeenda tabora na umemuhoji huyo paul
Nikajua utakuja na habari kuwa umekutana na wanafunzi na waalimu walio mfundisha paul..
Badala yake unaleta story za mange kimambi..
Na kukubali sana ila hapa umechemka inatakiwa uonyeshe utofauti kati yako na hao waandishi uchwara
 
Unafukuza wengine kwa kuwa na vyeti feki na unafikia hatua hata ya kumfukuza kazi mteule wako kwa kushindwa kusimamia zoezi la kubaini wenye vyeti feki alafu wakati huo uko kimya juu ya tuhuma za mteule wako mwingine anaetuhumiwa kuwa na vyeti feki!

Mtu kama wewe unastahili kuaminiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…