Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

Baada ya Dr.Kigwangala, Mwigulu, sasa ni zamu ya Makonda kuhusu jina, hii inaweza kuwa kweli au?

kitu bora kabisa watanzania wasomi wanachoweza kufanya

hatred

Then...Makonda ni R.C, vyeo ambavyo kamwe hamji kuvipata nyie na familia zenu
 
Mbona Dar ndiyo mkoa mdogo kuliko zote Tz. Au haukusoma jiogorafia nini mkuu?
Hilo ndilo halikuwahi kunipa shida . ki jiografia ni ndogo lakini ni mkubwa kuliko yote
1. Uongozi wa kitaifa
2. Viwanda vikubwa
3. Bandari kubwa
4. Airport kubwa
5. Mabalozi etc haya yote yako Dar lakini mikoani Rc ndiye boss
 
Kila mkigusia mada hii ya DAUDI NA VYETI FAKE.... bwana DEREVA anatetemeka HUKO alipo.....siku zote unapoanzisha jambo kama hili LA kudhalilisha watu ..hakikisha upo msafi....sasa bwana DEREVA alisahau kwamba KUNA DAUDI MAKONDA....
 
d16e60c89934b3044100faeb9d114987.jpg
 
Bwana DEREVA akiwa mafichoni baada ya ISSUE YA DAUDI kushika kasi
 
Mkuu nipo kisiwani si rahisi kupata magazeti mapema. Ina maana magazeti yoote ya hapo Dar hayajaandika habari hiyo? Kwa hiyo hata Tanzania Daima hawajaandika hiyo habari? Nao tusiwategemee kwenye kuleta mabadiliko?
Labda ya udaku lakini haya mengine hayajagusia hii habari.
 
HAKUNA MWANDISHI WA HABARI WA KUANDIKA UMBEA.......siku zote mlikuwa wapi????baada ya kutajiwa BABA yenu mnnanza kumtengenezea SKENDO MAKONDA......
Badala ya kulialia WAANDISHI waandike kuhusu KIJANA MWENZIO SAANANE.....wewe unalilia UANDIKWE UMBEA........
Ukapimwe Marinda
 
Acha zako kuna mikoa ya kujifunzia uongozi, wacha ajifunzie ukoko dar akija uku pembezone ataamka yupo juu ya bati au mti
Kuna jamaa huku pembezoni alikuwa jeuri jeuri akajikuta anaamka yupo stand ya bajaji na mkewe
 
Magazeti yanaogopa kwa sababu hakuna reliable sources za hizi habari zaidi ya whatsapp, jf na instagram...


Mtafuteni msukuma akiliadress itakuwa simple kwa magazeti kuandika..
 
Wengi wenu akili sijui mnaziacha wapi? Hivi kwa akili zenu aliyofanya Makonda ni initiative yake yeye Mwenyewe? Yaani mnaona kivuli lakini jua au unakotoka mwanga hamuoni? Ajabu.
Kwa hiyo katumwa na Mr. Alcohol?
 
Back
Top Bottom