PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Baada ya CHADEMA KUUNDA KAMATI NDOGO itakayokutana na Rais Kikwete kuhusiana na Katiba, CCM nao wamesema wataongelea hatua hiyo katika vikao vyao vya kamati kuu, na hatimaye watapanga nao kwa upande wao kumwona Rais na Mwenyekiti wa ccm kwa suala hilohilo!
Maajabu haya ya kisiasa!
Maajabu haya ya kisiasa!