Baada ya awamu ya tatu ya Benjamin Mkapa kumaliza muda wake, mtu sahihi wa kumrithi alitakiwa awe Magufuli. Nchi ingepaa sana

Machinjio na Stendi ni achievements ndogo sana kwa mtu wa hadhi ya raisi
Ukihesabu stendi zilizojengwaenzi za JK utakesha, lakini hatuwezi kumsifu kwa vitu kama hivyo.

Huwezi kumsifu rais kwa barabara ya kilometa mbili, ya morocco - Mwenge, tena ambayo mradi ulitafutwa na Serikali ya Kikwete.

sisi tunasifu miradi mikubwa kama
1. Daraja la Mkapa alilojenga BWM
2. Daraja la Kwenye mto Malagarasi alilojenga JK
3. Mradi kama Mwendokasi zilizowekwa na JK
4. Uwanja kama wa Taifa uuliojengwa na Mkapa

Tukianza kusifu vitu vidogovidogo tutakuletea hapa mieadi iliyoziduliwa na Mbeba mikasi wa JK Dr Gharib Bilal. na tutakesha humu kuiorodhesha.

Wewe sifu SGR na Stieglers hayo ni mambo makubwa lakini mambo ya machinjio na Stendi ni vitu vidogo sana kwa hadhi ya rais
Poor
 
Nini kinamfanya hivi sasa ashindwe kuifanya nchi ikapaa?!

Kakuta GNI per capita ikiwa USD 980 lakini hadi sasa ndo kwanza amefikisha USD 1080; an increase of ONLY USD 100 kwa muda wote aliokaa madarakani!!

View attachment 1522988

Mkapa aliachaForeign Reserve ikiwa roughly USD 2 Billion, na JK akaacha ikiwa USD 4.4 Billion, lakini hadi sasa ndo kwanza inacheza around USD 5 Billion!!

View attachment 1522990

View attachment 1522992

Nchi ina uhaba mkubwa wa Walimu wa Sayansi; na awamu iliyopita ilifanya jitihada mbalimbali ili kutatua tatizo hilo, na iliposhindikana kabisa, waka-introduce Special Diploma (Science & Mathematics) ili kukabiliana na upungufu huo!!!

JPM alipoingia tu, akafuta ile programme kwa madai wanaosoma ni vilaza, lakini miaka 5 anamaliza sasa lakini bado hajaleta alternative!!

Kwa kuona umuhimu wa Sayansi katika ulimwengu wa leo, awamu iliyopita ikahamasisha ujenzi wa maabara! JPM baada ya kuingia alitarajiwa aanzie wengine walipoishia ili kuhakikisha shule zetu zina maabara lakini kinyume chake, maabara kazipiga chini na bado hana alternative!!

Sasa nchi angeipaza vipi wakati hadi leo hajaona umuhimu wa sayansi?! Wakati hadi sasa hajaona umuhimu wa kuwa na walimu wa kutosha kwa masomo ya sayansi?! Wakati hadi sasa hajaona umuhimu wa kuwa na maabara?!
Eti nae anajiita mwanasayansi kwa kusoma chemistry and biology.Dunia hii acha tu
 
Kwanza kama umeelewa mainly nimezungumzia ukuaji wa miji ikiwemo jiji la dar es salaam. Huwezi ukaona umuhimu ya barabara kama huna. Hizo advantages zinakuja kupitia ukuaji wa mji.

Huwezi ita petty issues wakati hukuwa nazo na dunia iliyoendelea inazo. Huwezi vutia uwekezaji kama huna hizo unazoita petty issues kama umeme wa uhakika, maji ya uhakika, miundo mbinu ya uhakika.

Ukianza kuzungumzia suala bei utachekesha mzee maana unamaanisha havitakuwa na maana ya kuvifanya sababu ni cheap au?? Je zahanati ya million 400 isijengwe sababu ni cheap?? Unajua umuhimu wa uwepo wa hiyo miradi?
Hizo petty issues anazoshughulika nazo mtu wenu haziwezi kuongeza competativeness ya Tanzania,akina mkapa na kikwete walimwachia mpango kazi wa viwanda,yeye kwa uwezo wake mdogo ameshindwa viwanda akakimbilia kwenye zahanati,vituo vya afya,masoko na stend za mabasi,au hivyo ndo viwanda kwa akili yake?
 
Huyo aliyesema kuwa Magufuli aliingia na kukuta reserve ya Taifa $1.8 billion, sijui hizo taarifa anaokototeza wapi!

Mkapa wakati anaondoka aliacha zaidi ya $3 billion. Kikwete aliacha zaidi ya $4.4 billion.

Kati ya Mkapa, Kikwete na Magufuli, katika uchumi Magufuli has performed the worst. Na kwa namna Magufuli alivyoharibu misingi ya ujenzi wa uchumi, hata akipita miaka 5 ijayo yena, hataweza kurekebisha makosa aliyoyayafanya. Katika historia, atabakia kiulinganifu ndiye aliyefanya vibaya katika ujenzi wa uchumi.

Rais aliyefanya radical economic positive changes ni Hayati Benjamin Mkapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli amefanya vizuri sana
1 kwenye propoganda uchwara
2.Kujisifu na kusifiwa
3.kupoteza tirions za walipa Kodi wa nchi hii
4 siasa uchwara
5.ubaguzi wa aina zote
6.Kudharirisha watu
7 kuongea lugha za hovyo utadhani kuli wa kule bandarini
8.kuvuruga utumishi wa umma
9.Kuvuruga market systems za mazao yetu
10.Kupeperusha barabara ya njia sita Ubungo Chalinze
11.Kufanya kampeni kwa miaka mitano na bado hakubaliki
12.uongo uongo
13.matumizi ya nguvu dhidi ya raia
Yaani hadi vidole vinauma,orodha ni ndefu sana
 
Machinjio na Stendi ni achievements ndogo sana kwa mtu wa hadhi ya raisi
Ukihesabu stendi zilizojengwaenzi za JK utakesha, lakini hatuwezi kumsifu kwa vitu kama hivyo.

Huwezi kumsifu rais kwa barabara ya kilometa mbili, ya morocco - Mwenge, tena ambayo mradi ulitafutwa na Serikali ya Kikwete.

sisi tunasifu miradi mikubwa kama
1. Daraja la Mkapa alilojenga BWM
2. Daraja la Kwenye mto Malagarasi alilojenga JK
3. Mradi kama Mwendokasi zilizowekwa na JK
4. Uwanja kama wa Taifa uuliojengwa na Mkapa

Tukianza kusifu vitu vidogovidogo tutakuletea hapa miradi iliyoziduliwa na Mbeba mikasi wa JK Dr Gharib Bilal na tutakesha humu kuiorodhesha. Miradi ua hivyo JK alikuwa haangaiki kuizindua kwa sababu haikuwa hadhi yako

Wewe sifu SGR na Stieglers hayo ni mambo makubwa lakini mambo ya machinjio na Stendi ni vitu vidogo sana kwa hadhi ya rais
Hivyo sio vitu vya rais ni maendeleo ya mkoa na nchi. Kwa nchi za kiafrica sio jambo la kubeza. Na ishu sio kutengeneza, ishu ni kusimamia miradi ya maendeleo.
 
Hizo petty issues anazoshughulika nazo mtu wenu haziwezi kuongeza competativeness ya Tanzania,akina mkapa na kikwete walimwachia mpango kazi wa viwanda,yeye kwa uwezo wake mdogo ameshindwa viwanda akakimbilia kwenye zahanati,vituo vya afya,masoko na stend za mabasi,au hivyo ndo viwanda kwa akili yake?
Mbona hawakuanzisha wao hivyo viwanda au zahanati..unazungumzia kiwanda wakati watu hawana sehemu ya kujitibu..utakuwa boya kweli
 
Mbona hawakuanzisha wao hivyo viwanda au zahanati..unazungumzia kiwanda wakati watu hawana sehemu ya kujitibu..utakuwa boya kweli
Mkuu Kama watu wanakula vizuri,wanalala vizuri na wanavaa (yaani body hygiene yao ikiwa vizuri)vizuri ni nadra sana watu hao kuugua ugua na kwenda hospital.ila ili watu waweze kula vizuri,walale pazuri na wavae vizuri wanahitaji kipato kizuri.Ndo maana wenzake walijikita kuongeza kipato Cha raia wa nchi ( target ikiwa USD 3000.00) Sasa yeye anajikita kuongeza umasikini na hospital,shame on him
 
Ukifuatilia maelezo ya wachambuzi mbalimbali mitandaoni kuhusu kauli ya Mheshimiwa Kikwete msibani kwa marehemu Mkapa utagundua kuna mabishano ambayo hayana umuhimu wowote,sana yametanguliza chuki binafsi kwa hawa viongozi.

Kauli ya Jakaya kikwete ilijikita katika kumuelezea Mkapa kama muasisi wa mifumo tulionayo kwa sasa na ndoto yake katika kuipaisha Tanzania kiuchumi .

Kikwete kakiri Marehemu Mkapa aliipokea nchi toka kwa Mwinyi ikiwa na hali mbaya sana kiuchumi,hili halina ubishi,ndio maana akatengeneza mifumo ambayo mpaka anaachia madaraka nchi ilikuwa vizuri kiuchumi na serikali ilikuwa na fedha ya kutosha.alidhibiti mfumuko wa bei kwa kiwango cha hali ya juu sana.


Baada ya Kikwete kupokea kijiti alianza vizuri sana ,lakini ukiangalia muda ulivyozidi wasaidizi wa Kikwete walimuangusha sana,pamoja na nia yake njema , kwani baadhi yao hawakuwa waadilifu hata kidogo ,walikuwa ni mchwa,ushikaji pia ulimuharibia sana kazi,kipindi chake tumeona watumishi wa umma walikua na ukwasi usioelezeka , ndio maana wakati anamkabidhi Rais Magufuli kijiti ,serikali ilikuwa haina fedha ,serikali ilikuwa na dollar za kimarekani 1.8 billion tu,hii ilikuwa ni pesa ndogo sana kuendesha nchi kwa mtawala mpya, ilihitaji kazi ya ziada kupata fedha za kuendesha serikali,
Hata hivyo Rais Magufuli alisimama imara sana bila kuyumbishwa na wale waliozoea kuweka serikali mfukoni.

Kwanini nasema Magufuli alitakiwa ampokee kijiti Mkapa! ,kutupeleka kwenye hicho kipato cha dollar 3000 ,ni kwasababu Mkapa hakucheka na nyani ,alikua serious sana ,alikuwa mkali ,hakuyumbishwa na maneno maneno aliamini kile anachokisimamia,ukimuangalia Magufuli ni typical Mkapa ndio maana kupitia mifumo ilioachwa na Mkapa kafanya makubwa ndani ya muda mfupi sana (,Mega projects),nakadhalika , ili mifumo alioacha Mkapa ilete ufanisi ilihitaji kiongozi mkali asiecheka na watumishi wabovu wasio simamia mifumo ,hivyo "I repeat again Magufuli was a right person after Mkapa ".

Kwahiyo ndoto ya Mkapa ingetimia 2025 kama alivyofikiri, kua na kipato cha dollar 3000,kwani gap lisingekuwa kubwa kama tulionavyo sasa ikiwa awamu ya nne isingezembea kusimamia mifumo ilioachwa na Mkapa .

Nimalize kwa kusema mifumo ilioachwa na Mzee Mkapa ni madhubuti ispokua ilikosa na inakosa viongozi waadilifu wa kuitumikia .

Mwisho tuwaenzi viongozi wetu wote wakuu waliohai na waliotangulia mbele ya haki , kwani kila mmoja ana nafasi yake katika mafanikio ya taifa letu,tusiwabeze hata kidogo kwa chuki zetu binafsi , kufanikiwa kwa Tanzania si kazi ya mtu mmoja ,ni muunganiko wa juhudi zetu sote
Manaswara mkishavimbia mkate na divai basi mnadhani hii nchi inapaswa kuongozwa na wana vigango peke yao.
 
Meko Hana zuri lolote zaidi ya Stigglers Gorge labda na SGR kwa mbali though alishakuta mipango toka kwa Kikwete.
Mengine yote aliyofanya ni utopolo mtupu. Anafanya kwa papara na sifa tu. Hata Dodoma baada ya miaka kadhaa tutaanza kulalamika ubovu wa majengo yanayojengwa kule maana mengi yanajengwa kwa mwendokasi na sidhani Kama wanazingatia viwango vya ubora.

Kwenye uchumi na ajira ndo ameharibu kabisa
lofa na wapumbavu ktk ubora wao, Jpm kafufua mashirika ya umma yote yaliokuwa ya naelekea kibra, Atcl, tanesco ilikuwa na madeni ya kufa mtu mpaka kila mwaka ilikuwa mzigo alikuwa akibebeshwa mwananchi kupandisha bei, tangu Magufuri aingie madarakani umeme haujawai kupanda sana sana umeshuka ameondoa service charge ya kila mwezi nashirika sasahivi linajiendesha bila asara, Tccl hiyo nayo ilikuwa maututi sasahivi inatoa gawio serikalini, shirika la reli nalo lilikuwa hoi baada kubinafishisha waindi, sasahivi limesukwa upya. Magufuri kafanya mengi kwamda mfupi mzee Mwinyi amekiri amedhibiti mfumuko wabei kitu kilichomshinda Kikwete pamoja na kusoma uchumi, shiling imeimalika sio kama enzi za Kikwete maana kila siku dollar ilikuwa juu sana. Sema wewe baba yako alikuwa mwizi ndio maana unamchukia Magufuri
 
lofa na wapumbavu ktk ubora wao, Jpm kafufua mashirika ya umma yote yaliokuwa ya naelekea kibra, Atcl, tanesco ilikuwa na madeni ya kufa mtu mpaka kila mwaka ilikuwa mzigo alikuwa akibebeshwa mwananchi kupandisha bei, tangu Magufuri aingie madarakani umeme haujawai kupanda sana sana umeshuka ameondoa service charge ya kila mwezi nashirika sasahivi linajiendesha bila asara, Tccl hiyo nayo ilikuwa maututi sasahivi inatoa gawio serikalini, shirika la reli nalo lilikuwa hoi baada kubinafishisha waindi, sasahivi limesukwa upya. Magufuri kafanya mengi kwamda mfupi mzee Mwinyi amekiri amedhibiti mfumuko wabei kitu kilichomshinda Kikwete pamoja na kusoma uchumi, shiling imeimalika sio kama enzi za Kikwete maana kila siku dollar ilikuwa juu sana. Sema wewe baba yako alikuwa mwizi ndio maana unamchukia Magufuri
Nani kakwambia saivi Tanesco Haina madeni??? Nani kakwambia atcl haina madeni???? Nani kakwambia ttcl iko sawa??? Fuatilia financial statements za Tanesco, Ttcl na Atcl alafu rudi hapa na upumbavu wako.

Hivi kati ya watu wa kuwasikiliza saivi Mwinyi nae unamuweka??? Mtu aliyeshauri tuvunje Katiba Eti kwa Kumshukuru Magufuli??? Wakati yeye ndo anamshukuru kwa kumpigia mwanae kuwa Mgombea wa uraisi Zanzibar???

Kajipange upya!
 
Mbona Magufuri alikuwa mmoja wa Mawaziri wa wake (Askali wa Miavuli)? Walishindwaje kuipaisha Tanzania kiuchumi?
Kwa udikiteta wa Magu nadhani baada ya Mkapa Demokrasia ingekuwa imeshazikwa muda mrefu!
 
Ni kweli kabisa, ila kitendo cha Magufuli kupokea nchi kilofa haina hela mpaka kuahirisha sherehe za uhuru kimagirini kusingizia usafi kumbe hakuna hela kilimtia uchungu. Ndo maana asubuhi asubuhi aliamkia wizara ya fedha kimachungumachungu na kwa kweli ana uchungu na wezi mchwa walioitafuna nchi hii na wote wenye nia hiyo.
Una maana JK walivuta kiasi cha $4 billion kabla ya kumkabidhi JPM?Kwani minimum Requirement ni kuwa na akiba ya miezi 5.Sasa naanza kuelewa kwanini Magufuli alivamia ofisa za Taasisi ya fedha.
 
Kama nilimuelewa Kikwete alisema kwamba, Mkapa aliweka mkakati ikifika 2025 tuwe tumeingia uchumi wa kati tukiwa na pato la dola elf 3 kwa mwananchi.

Akaeendelea kusema japo tumeshaingia kwenye uchumi wa kati lakini hatujafikia target ya Mkapa ya dola elfu 3 kwa hiyo Magufuli ana kazi ya kutufikisha huko ili kumuenzi Mkapa.

Ccm na Magufuli walikuwa wanashangilia nchi kufika nchi ya uchumi wa kati iliyotangzwa na WB kwa mujibu wa vigezo vyao vya dola elf 1+ ambapo wao ccm walitegemea watangazwe kufikia 2025.
Sasa hili lengo la Mkapa hakuna popote ambapo Magufuli alishwahi kusema wamefikia kabla ya 2025.

Vigezo vya WB siyo hiyo dola elf 3 ya Mkapa! Hiyo ya Mkapa aliiweka yeye kama challenge.

Sasa hebu nioneshe ni wapi JK alipochomoa betri?

Nlichojifunza ni kwamba wapinzani mnataka kuamisha jamii kwamba JK hampendi Magufuli ndio maana kasema vile ili kumuaibisha! Hii wala haitawasaidia katika kuongeza kura za upinzani. Zaidi sana utamuona huyohuyo Kikwete kuanzia septemba yuko jukwaani kumnadi Magufuli.
Wanasema ukimchunguza sana kuku wa kienyeji unaweza ukashindwa kumla.
Yule Mzee Mwinyi alipopewa nchi mwaka 1985 na Mwl.Nyerere kulikuwa hakuna pesa ya kigeni kabisa ,hiyo ni katika hotuba ya Raisi Mwinyi mwaka 87 au 88.alipokuwa anatoa sababu ya kukubali masharti ya IMF.
Alisema alipomuuliza Mwl.Nyerere anaaza je,basi Mwl.Nyerere Nyerere aliwaomba marafiki zake watatu wakampa dollar million 15.
Nazo zilitoka kwa Zimbabwe ya Rober Mugabe dollar milioni 5.
India kutoka kwa waziri mkuu Rajiv Gandhi dollar milioni 5
Na Dollar milioni 5 kutoka kiongozi wa Greece kama sikosei.
Kwa upande mmoja tusisahau kabisa mchango wa Raisi Mwinyi ndie Raisi katika historia ya nchi hii aliekabidhiwa nchi ikiwa mufilisi kabisa haina mbele wala nyuma.
 
Nani kakwambia saivi Tanesco Haina madeni??? Nani kakwambia atcl haina madeni???? Nani kakwambia ttcl iko sawa??? Fuatilia financial statements za Tanesco, Ttcl na Atcl alafu rudi hapa na upumbavu wako.

Hivi kati ya watu wa kuwasikiliza saivi Mwinyi nae unamuweka??? Mtu aliyeshauri tuvunje Katiba Eti kwa Kumshukuru Magufuli??? Wakati yeye ndo anamshukuru kwa kumpigia mwanae kuwa Mgombea wa uraisi Zanzibar???

Kajipange upya!
Mwinyi kakaa ikuru miaka 10 kitu ambacho wewe na ukoo wenu wote haitatokea mtu wa kukaa pale mpaka dunia inaisha, hivo anajua anachokisema, kama unaushaidi weka statiment ya madeni ya tanesco, mbona hautuoni kama mwanzo kupandisha umeme ili walipe madeni mpaka mwaka jana wametoa gawio la mabilioni Kwa serikali, kijana kuongoza mchi sio kama familia. Magufuri amejitaidi sana kudhibiti sana mchwa ulikuwa unafuja ela ya serikali ndio maana nyinyi mnalialia, nchi imeturia tunataka aongeze miaka mingine 5 alafu ndio tumlinganishe na watangulizi wake
 
lofa na wapumbavu ktk ubora wao, Jpm kafufua mashirika ya umma yote yaliokuwa ya naelekea kibra, Atcl, tanesco ilikuwa na madeni ya kufa mtu mpaka kila mwaka ilikuwa mzigo alikuwa akibebeshwa mwananchi kupandisha bei, tangu Magufuri aingie madarakani umeme haujawai kupanda sana sana umeshuka ameondoa service charge ya kila mwezi nashirika sasahivi linajiendesha bila asara, Tccl hiyo nayo ilikuwa maututi sasahivi inatoa gawio serikalini, shirika la reli nalo lilikuwa hoi baada kubinafishisha waindi, sasahivi limesukwa upya. Magufuri kafanya mengi kwamda mfupi mzee Mwinyi amekiri amedhibiti mfumuko wabei kitu kilichomshinda Kikwete pamoja na kusoma uchumi, shiling imeimalika sio kama enzi za Kikwete maana kila siku dollar ilikuwa juu sana. Sema wewe baba yako alikuwa mwizi ndio maana unamchukia Magufuri
Hebu acha utani mkuu ttcl walitoa gawio alafu wakaenda kuomba hela ya kulipa mishahara..... Zile sarakasi tu mkuu.
 
Nini kinamfanya hivi sasa ashindwe kuifanya nchi ikapaa?!

Kakuta GNI per capita ikiwa USD 980 lakini hadi sasa ndo kwanza amefikisha USD 1080; an increase of ONLY USD 100 kwa muda wote aliokaa madarakani!!

View attachment 1522988

Mkapa aliachaForeign Reserve ikiwa roughly USD 2 Billion, na JK akaacha ikiwa USD 4.4 Billion, lakini hadi sasa ndo kwanza inacheza around USD 5 Billion!!

View attachment 1522990

View attachment 1522992

Nchi ina uhaba mkubwa wa Walimu wa Sayansi; na awamu iliyopita ilifanya jitihada mbalimbali ili kutatua tatizo hilo, na iliposhindikana kabisa, waka-introduce Special Diploma (Science & Mathematics) ili kukabiliana na upungufu huo!!!

JPM alipoingia tu, akafuta ile programme kwa madai wanaosoma ni vilaza, lakini miaka 5 anamaliza sasa lakini bado hajaleta alternative!!

Kwa kuona umuhimu wa Sayansi katika ulimwengu wa leo, awamu iliyopita ikahamasisha ujenzi wa maabara! JPM baada ya kuingia alitarajiwa aanzie wengine walipoishia ili kuhakikisha shule zetu zina maabara lakini kinyume chake, maabara kazipiga chini na bado hana alternative!!

Sasa nchi angeipaza vipi wakati hadi leo hajaona umuhimu wa sayansi?! Wakati hadi sasa hajaona umuhimu wa kuwa na walimu wa kutosha kwa masomo ya sayansi?! Wakati hadi sasa hajaona umuhimu wa kuwa na maabara?!
Kumbe mkapa alichukua nchi ikiwa katika GNI per capita $170. Muhula wake wa kwanza aliifikisha nchi katika GNI per capita $410. Wakati anaondoka iliacha GNI per capita $500.

Alipoingia kikwete, muhula wa kwanza alifikisha GNI per capita $720. Nawakati anaondoka aliacha GNI per capita $980.

Tena hii $1,080 aliieleza kikwete juzi, lakini kabla ya hapo tulikuwa tunaimbishwa wimbo wa kwamba tumeingia uchumi wa kati mapema kuliko muda ulio tarajiwa yaani 2025, bila kuambiwa tupo GNI ngapi adi sasa. Na kumbe matarajio ya hiyo 2025 ni GNI per capita $ 3,000. Ukiangalia hesabu zilivyo JK alibakisha GNI $ 56 tu kuingia uchumi wa kati lakini ndie rais anae onekana muovu na ameharibu uchumi wa nchi.

Muhula wa kwanza wa mkapa ni GNI per capita $240.
Muhula wa kwanza wa kikwete ni GNI per capita $220.
Muhula wa kwanza wa magufuli ni GNI per capita $100. Tena ukirudisha ile $20 ambayo magufuli aliipoteza katika $980 iliyoachwa na kikwete utapata jibu kwamba muhula wa kwanza wa magufuli amepata $80.
 
Mbona Magufuri alikuwa mmoja wa Mawaziri wa wake (Askali wa Miavuli)? Walishindwaje kuipaisha Tanzania kiuchumi?
Kwa udikiteta wa Magu nadhani baada ya Mkapa Demokrasia ingekuwa imeshazikwa muda mrefu!
[/QUOTE, Hivi unataka democrasia hipi? yakutukana, au ya kushinda kijiweni unapiga domo, nyakati zinabadilika sijaona unaowasema kuwa walikuwa wanademocrasia wamesaidia nini nchi kuitoa ktk lindi la umasikini. Nenda libya ndio walilia democrasia sasahivi wameipata, depromacia uku tunaibiwa mali zetu hatuitaki.
 
Back
Top Bottom