- Thread starter
- #101
Yani ifanye chuma ulete? kwa nani hasa, kwa wazungu zije huku afrik a au kutoka kwetu kwenda kwake?Chuma ulete tu
Yani ifanye chuma ulete? kwa nani hasa, kwa wazungu zije huku afrik a au kutoka kwetu kwenda kwake?Chuma ulete tu
Iwe ina nyonga watuTuliona Mwalimu Nyerere Foundation , Benjamini Mkapa foundation, sasa Jajaya Kikwete Foundation.
Itakuja John Pombe Magufuli Foundation baada ya 2025 sio mbali.Hii na hisi itaendelea kuhamasisha mlipe kwa maendeleo yenu. Mkiachana na hisia zangu, nyie mgependa ifanye nini?!
Kwa taarifa za kiintelijensia 2020 magu anaweza kupita uchaguzi lakini kwa nguvu kubwa mno inayoweza kuacha majeraha makubwa yanayotibika au kutotibika.Tuliona Mwalimu Nyerere Foundation , Benjamini Mkapa foundation, sasa Jajaya Kikwete Foundation.
Itakuja John Pombe Magufuli Foundation baada ya 2025 sio mbali.Hii na hisi itaendelea kuhamasisha mlipe kwa maendeleo yenu. Mkiachana na hisia zangu, nyie mgependa ifanye nini?!
Hivi Mwinyi Foundation hatuna?!Angalao ungesema 2030, 2025 nimetumbukiwa nyongo. Unahitajika muda kunyorosha nchi hii ilivurugwa sana hapa juzi kati. Mara tu kusha sahau ule msemo wa mwanamfalme!!!
Itakuwa famous kweliIwe ina nyonga watu
Unataka foundation yake ifanye niniKwa taarifa za kiintelijensia 2020 magu anaweza kupita uchaguzi lakini kwa nguvu kubwa mno inayoweza kuacha majeraha makubwa yanayotibika au kutotibika.
Uwezo wa kutumia nguvu ya chama ni wa mashaka kwani kutaibuka mvurugano mkubwa kutokana na yeye kutoheshimu wenzake.
Option ya kutumia vyombo vya dola hasa mabaka mabaka ndiyo itakayo mharibia sana. Hivyo kama atatoka 2025 atakuwa hana heshima katika jamii kama watangulizi wake, na suala la foundation sahau bali uwezekano wa kuishia kuwa na maskando ya rushwa, ufisadi hata kuhusishwa na matukio yaliyofanyika dhidi ya uhai wa binadamu na jela kumhusu sana.
Wataalamu wa ushauri wangechukua muda kumshauri kwa kutumia hotuba ile ya Kikwete kuhusu KUJIMWAMBAFAI kumfundisha what's coming later!