B boyfriend nije kukutembelea kama nani wako?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Huyu binti wa rafiki yangu anaitwa Shangwe. Shangwe ni binti anaevutia sana. Amemaliza kidato cha sita ingawa matokeo yake hayakuwa mazuri sana. Wakati wazazi wanafikiria cha kufamfanyia binti yao kwa maisha yake Shangwe alikutana na Dickson wakiwa kanisani. Dickson alimuelewa sana Shangwe.

Dickson alipata nafasi ya kwenda kusoma South Africa, akisomeshwa na kampuni. Baada ya kukaa miezi miwili huko Sauzi alimtumia Shangwe ticket apande pipa kwenda kuvinjari.

Shangwe alipotapa ticket alimuuliza Dickson nitawaaga wazazi wangu kuwa ninakwenda wapi na kwa nani? Mimi ninakuja kukutembelea kama nani?

Dickson alimuuliza nikituma ndugu walete barua ya posa kwenu itakuwaje?

Hivi ndivyo Shangwe alivyopata mume.
 
Hizi ndoa za voda faster hata mwaka hauishi wanarudi hapa wanalia! Jamani nyie vijana mnaotaka kuoana pateni muda wa kusomana nyie pia na familia zenu kabla ndoa. Ndoa ni ngumu na nikifungo cha maisha. Ukitaka kuondoka kinakuchana personality yako hata ukijimwambafai but you will never be the same again! Don't mess up with marriage!
 
Hizi ndoa za voda faster hata mwaka hauishi wanarudi hapa wanalia! Jamani nyie vijana mnaotaka kuoana pateni muda wa kusomana nyie pia na familia zenu kabla ndoa. Ndoa ni ngumu na nikifungo cha maisha. Ukitaka kuondoka kinakuchana personality yako hata ukijimwambafai but you will never be the same again! Don't mess up with marriage!
Ata msomane miaka yote ya maisha yenu, kama mkishindwana mnashindwana tu kwani tabia ya mtu ni maandiko isiweze badilika?
 
Hizi ndoa za voda faster hata mwaka hauishi wanarudi hapa wanalia! Jamani nyie vijana mnaotaka kuoana pateni muda wa kusomana nyie pia na familia zenu kabla ndoa. Ndoa ni ngumu na nikifungo cha maisha. Ukitaka kuondoka kinakuchana personality yako hata ukijimwambafai but you will never be the same again! Don't mess up with marriage!
Natamani kulike mara zote ila haiwezekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu binti wa rafiki yangu anaitwa Shangwe. Shangwe ni binti anaevutia sana. Amemaliza kidato cha sita ingawa matokeo yake hayakuwa mazuri sana. Wakati wazazi wanafikiria cha kufamfanyia binti yao kwa maisha yake Shangwe alikutana na Dickson wakiwa kanisani. Dickson alimuelewa sana Shangwe.

Dickson alipata nafasi ya kwenda kusoma South Africa, akisomeshwa na kampuni. Baada ya kukaa miezi miwili huko Sauzi alimtumia Shangwe ticket apande pipa kwenda kuvinjari.

Shangwe alipotapa ticket alimuuliza Dickson nitawaaga wazazi wangu kuwa ninakwenda wapi na kwa nani? Mimi ninakuja kukutembelea kama nani?

Dickson alimuuliza nikituma ndugu walete barua ya posa kwenu itakuwaje?

Hivi ndivyo Shangwe alivyopata mume.
Ngoja mimi niwe Dickson

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu binti wa rafiki yangu anaitwa Shangwe. Shangwe ni binti anaevutia sana. Amemaliza kidato cha sita ingawa matokeo yake hayakuwa mazuri sana. Wakati wazazi wanafikiria cha kufamfanyia binti yao kwa maisha yake Shangwe alikutana na Dickson wakiwa kanisani. Dickson alimuelewa sana Shangwe.

Dickson alipata nafasi ya kwenda kusoma South Africa, akisomeshwa na kampuni. Baada ya kukaa miezi miwili huko Sauzi alimtumia Shangwe ticket apande pipa kwenda kuvinjari.

Shangwe alipotapa ticket alimuuliza Dickson nitawaaga wazazi wangu kuwa ninakwenda wapi na kwa nani? Mimi ninakuja kukutembelea kama nani?

Dickson alimuuliza nikituma ndugu walete barua ya posa kwenu itakuwaje?

Hivi ndivyo Shangwe alivyopata mume.
abunuasi jumlisha skai eklati>>>>
 
Mama hizi chai zako huwa unazikota wapi maana ni tamu.
Huyu binti wa rafiki yangu anaitwa Shangwe. Shangwe ni binti anaevutia sana. Amemaliza kidato cha sita ingawa matokeo yake hayakuwa mazuri sana. Wakati wazazi wanafikiria cha kufamfanyia binti yao kwa maisha yake Shangwe alikutana na Dickson wakiwa kanisani. Dickson alimuelewa sana Shangwe.

Dickson alipata nafasi ya kwenda kusoma South Africa, akisomeshwa na kampuni. Baada ya kukaa miezi miwili huko Sauzi alimtumia Shangwe ticket apande pipa kwenda kuvinjari.

Shangwe alipotapa ticket alimuuliza Dickson nitawaaga wazazi wangu kuwa ninakwenda wapi na kwa nani? Mimi ninakuja kukutembelea kama nani?

Dickson alimuuliza nikituma ndugu walete barua ya posa kwenu itakuwaje?

Hivi ndivyo Shangwe alivyopata mume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom