B.A.S.H.I.T.E akiwa anaombewa

B.A.S.H.I.T.E akiwa anaombewa

Robot la Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
8,584
Reaction score
17,526
FB_IMG_1490684872312.jpg
 
Kweli huyo bashite.
Mimi sizielewi hizi dini za siku hizi.

Nna uhakika watu hawa muamini Mungu huyu nnae muamini mimi.

Hivi ukipiga Magoti na kuomba mwenyewe chumbani mwako, Maombi yako hayatasikika .

Au watu tunahisi Mungu yuko wapi . . .

Mh niwaache watu na Ubashite wao
 
huuuuuuuuuuuu! oooooooooooooshhhhhhhhhhhh! ooooooooooooooooooooops! aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
ha ha ha! ili ushinde unahitaji kujinyenyekeza ndo hii!!
 
Kwenye wingi wa imani wakristo wamewekeza sana huko kuliko kitu kitu chengine chochote.
 
Kuna Makanisa mengine yanamambo ya Ajabu Ajabu.
Hivi waumini huwa wameshikwa akili,Sasa tukio kama hilo akili bado haifunguki.


Imani ni bora kuliko dini.
 
Back
Top Bottom