Huwa napata ukakasi na majibu mengine ya watu humu JF, KAMA HAUWEZI KUSHAUR AU KUCHANGIA CHOCHOTE NI BORA UNYAMAZE AU UKAE KMY.
kuna muda huwa najiuliza ELIMU MAANA YAKE NI NINI? Naishia hapo....
Ukipata mudaa nenda kwenye meaning & dimension of history.........
Huwa nawashangaa sana watu wanao dharau somo la historia, History offers students the skills of critical thinking, reasoning & analysis of issues and development in all ramifications (Katunzi 1993).
Nilianza kwa kusema elimu maana yake ni nini? Nionavyo mim kuna watu wanasoma mpaka chuo kikuu huku wakiwa hawajui nini wanacho kitaka maishani?
Mfano kwenye hiyo uliyo soma BA.HISTORY huoni chochote cha kukusaidia pa kuanzia?
Najua umesoma kozi nying kweny hiyo Ba.history, ntakutajia chache....mambo ya Archaeology,
Industraization & the rise of working class in Britain,
Philosophies & methodologies of history,
History of sauth africa,
History of East Africa
History of Tanzania, ETC.
History in its simplest way means a study of human activities in the past, a construction of past activities or events.
Kupitia izo kozi utakua umepata exposure kubwa ki mawazo na kimitazamooo, Hata ukiamua kufanya ukulima na ufugaji ukulima wako na ufugaji wako utakua wa manufaa na tijaaa
KUNA POINT MOJA HUWA INATUMIKAGA SANA KWENY SOMO LA HISTORY & GEOGRAPHY INAITWA
"LACK OF CAPITAL"
Ukimtafuta graduate aliye kua na mitazamo mikubwa mikubwa alipo kua chuo kikuu (na alisoma kozi za arts na social science)
Utakuta Graduate akiwa na mawazo na mitazamo atapata kazi katika ofisi kubwa...Then aka hitimu chuo mtaa ukampokea kwa sura tofauti mfano unatokea familia ya ki masikini na pengine mpaka sasa ana miaka mitatu au mi4 na yupo mjini au kijijini
hajapata cha kufanya tangu amalize chuo kikuu mpaka nguo zake zote alizo nunua kwa boom zimeishaa na wa dogo alio waacha shuleni na walio feli anawakutaa wamepiga hatua kubwaaa ( lack of capital, atai define vizuri sanaa )
Pengine anadharau kazi ya laki moja(100,000) per month. Kama una malengo na hauna mtaji na hauna means ya wakukupa mtaji hauna.....Tafuta hata kazi ya securty Guard , KK, G4S, SGA, Worrior.. Fanya kwa malengo huku ukijibana na kujiwekea akiba kwa ajili ya mtaji wa kutimiza malengo yako
kila mtu Mungu kamuumba na bahati yake wapo ambao wanafanikiwa kwa connection za watu wao.....
Najua elimu yetu haimwandai mtu kujiajili...na watawala wetu wenye dhamana ya maamuzi wana hubili kujiajili ikiwa wenyewe hawawezi kujiajiri.....
HUWA NASHANGAA SANA WATU WANAO DHARAU SOMO LA HISTORIA