B.a in history

B.a in history

malifimbo

Senior Member
Joined
Apr 2, 2013
Posts
129
Reaction score
32
mimi ni kijana wa miaka 25 nahitimu mwaka huu mwezi juni B.A IN HISTORY CHUO KIKUU MLIMANI DSM(UDSM) ,SASA NAOMBA MCHANGO WA MAWAZO YENU KAMA WADAU KAZI NITAPATA WAPI?.MSAADA PLEASE .
 
kazi subiri mwakani mwezi wa pili post za serikali au tafuta shule ukale vumbi la chaki
 
Hakuna kazi kwa shahada kama hyo yako.over
 
mimi ni kijana wa miaka 25 nahitimu mwaka huu mwezi juni B.A IN HISTORY CHUO KIKUU MLIMANI DSM(UDSM) ,SASA NAOMBA MCHANGO WA MAWAZO YENU KAMA WADAU KAZI NITAPATA WAPI?.MSAADA PLEASE .

Nia yako ilkuwa na wewe ujulikane una Degree eti?hiko ni kitu gani umesoma?haya utasota mtaani hadi ujute kuwa mtanzania, na ukichoka andaa makumbusho yako
 
Duuh mkuu siungesoma b.a education na history nakama unaipenda ungeifanya kama moja ya major subject zako.

Mie bnafsi nmemaliza education hapo mlimani; na sasa kuna shule nafundisha
 
mimi ni kijana wa miaka 25 nahitimu mwaka huu mwezi juni B.A IN HISTORY CHUO KIKUU MLIMANI DSM(UDSM) ,SASA NAOMBA MCHANGO WA MAWAZO YENU KAMA WADAU KAZI NITAPATA WAPI?.MSAADA PLEASE .
mjinga mkubwa wewe pumba..vu ulisoma history ukiwa hujui kazi zake zinapatikana wapi kenge wewe na utakoma mpaka utoe ti..go nyangema wewe
 
apply kwenye shule za private uwe mwalimu wa history
 
Mungu atakupa tu, ila ukija mtaa usichague kazi, fanya kazi yeyote inayokuja mbele yako, tafuta short course iliyo marketable ili uongeze CV, mimi naamini mungu atakupa tu.
 
Jamani kosa la mleta mada ni lipi?Maana ametukanwa kweli??
 
mimi ni kijana wa miaka 25 nahitimu mwaka huu mwezi juni B.A IN HISTORY CHUO KIKUU MLIMANI DSM(UDSM) ,SASA NAOMBA MCHANGO WA MAWAZO YENU KAMA WADAU KAZI NITAPATA WAPI?.MSAADA PLEASE .

Mkuu kazi ya uhakika ni kufundisha sekondari, pengine na kwenye makumbusho.Kila la kheri usichague kazi
 
mjinga mkubwa wewe pumba..vu ulisoma history ukiwa hujui kazi zake zinapatikana wapi kenge wewe na utakoma mpaka utoe ti..go nyangema wewe

asa unamtukania nin mwenzio?
 
Kwani ndugu ukufanya field ili kuweza kujua hizo sehemu za kufanya kazi?..!!!
 
Nakushaur nenda vyuo vya ualimu...uwapelekee cv zako...na uonyeshe nia tht u wud lov to work with them...unaweza kuanza kama intern...thn bdae wanaweza kukuajir...kaz ni ishu,or else ujiajir tu kwa kuungaunga,
 
Mdogo wangu, ISHU Ipo kwa kitu ulichokisoma, lakini usikate tamaa utakuja kufanikiwa one, omba nafasi kama katibu kata, mtendaji wa kijiji zikitoka za utumishi, lakini kazi ya mtaani ni ualimu tu ukafundishe history. lakini ulikosea sana kuchagua course hiyo mtaani ni noma pia kunachosha.
 
mjinga mkubwa wewe pumba..vu ulisoma history ukiwa hujui kazi zake zinapatikana wapi kenge wewe na utakoma mpaka utoe ti..go nyangema wewe

Du! Mkuu hayo matus ni makali sana!! Pia sion kosa lake!kwani wapo waliosoma vacancy ambazo ziko sokoni! Lakini bado wa haso mtaani! Ni jambo la kumshauri tu!!
 
mimi ni kijana wa miaka 25 nahitimu mwaka huu mwezi juni B.A IN HISTORY CHUO KIKUU MLIMANI DSM(UDSM) ,SASA NAOMBA MCHANGO WA MAWAZO YENU KAMA WADAU KAZI NITAPATA WAPI?.MSAADA PLEASE .
Hakikisha GPA yako inakuwa nzuri at least 4.0 and above if dicult keep it above 3.8 kuna vyuo vikuu utaweza pata job cha msingi soma sana na uelewe vyema uyasomayo i believe utapata kazi higher learning instituition uanze kama T.A...
2. Mara utakapomaliza peleka barua ya maombi ya kazi wizara ya elimu kuomba kazi ya kufundisha utapata then utajipanga ukiwa kazini..
3. Kama kuna uwezo piga M.A history mapema utakapoitimu B.A yako. Utaangalia kati ya hizo option ipi utaweza ila namba 2 uifanyie kazi usije sota sana kitaa kila la kheri
 
Maana halisi ya degree ya kwanza yoyote ile nikumuandaa mtu kuwa trainable aidha kazini au kwa masomo ya juu! Kwahiyo kwanza hakikisha umefanya vizuri sana hata ikiwa degree ya ngoma kama ya Lowassa bado waweza fanikiwa. So jina la degree sio kazi, unless unapewa kazi eti kwa sababu technical know who! Ushauri wangu kwako angalia matokeo yako kwanza utapata kazi nyingi sana, na ukizingatia Tanzania ulichosomea sio unachoenda kufanyia kazi...
 
Back
Top Bottom