Mkuu kuna mtu humu JF aliniuzia G2 haikuchukua hata mwezi ikakata mazima!alijitangaza weeee na mbwembwe nyiingi,(na ni maarufu sana humu JF kwenye ulimwengu wa Electronics) baada ya kununua na kukata namuuliza tatizo ni nin hajibu,kuanzia PM hajibu, Text Sms hajibu even my calls. Kwa kweli nimemnyamazia na kutomwanika just kulinda heshima yake,bt kama atasoma hapa (najua atajifahamu) afahamu alichofanya sio ustaarabu hata kidogo!
Kwa hivo kuanzia hapo wala sichangaamkii hivi vitu,kwa wanao amin na kuhangaika navo siwalaumu,bt mie nimeingia cost ya almost 600,000 (as nilinunua viwili) bt for nothing!kwa mnaotaka kujaribu good luck but kwa atakayependa ushaur wangu,then kuwa makini..!