Aziz Ki ni shemeji mtalajiwa 😂

Shangazi yangu hamisa........unaitwa hukuuuuu!!!ila Aziz Funguo hapigi huo Mzigo Kuna leader pale utopoloni ndio anamega kisela but subiri nimuulize Hali komwe then nitakuja na updates sahihi!
 
Kuna watu watasema hamisa ahaaa, hamisa hawezi kuwa pale kuna kiki inatengenezwa nyuma ya pazia kuna mwenye noti zake.

Au mmesahau dogo janja na ndoa ikafungwa na uwoya? Bado kuna watu waliamini ile ndoa? Jajaro alimuolea mtu, yeye analipwa kiki za mitandaoni ila kitandani analala mwenye pesa zake, janjaro nae analipwa mshahara.

Pesa hapa duniani ilishindwa kurudisha roho ya mtu ikikata ila vingine pesa ameweza.
 
Yanga wamemtafutia lishangazi moja . To stimulate Aziz Ki to stay . what a great move . Pisi ina mimba ya aziz kii , soon anakuwa na mcheza mpira wa next generation . We wait . Will he stay ?!? We don’t know ? Ni mwendo ya plan b 😂 .
Kwamba kutembea na malaya ndiko kutamzuia kutafuta timu? Okwi alikuwa na mamalaya mengi mengi tu lakini keshazurura hadi Ulaya, Asia na Afrika Magharibi na kuwaacha bongo, wala hakuna kilichomzuia
 
Kwamba kutembea na malaya ndiko kutamzuia kutafuta timu? Okwi alikuwa na mamalaya mengi mengi tu lakini keshazurura hadi Ulaya, Asia na Afrika Magharibi na kuwaacha bongo, wala hakuna kilichomzuia
Huyu ni mtoto
 
Kuna watu watasema hamisa ahaaa, hamisa hawezi kuwa pale kuna kiki inatengenezwa nyuma ya pazia kuna mwenye noti zake.

Au mmesahau dogo janja na ndoa ikafungwa na uwoya? Bado kuna watu waliamini ile ndoa? Jajaro alimuolea mtu, yeye analipwa kiki za mitandaoni ila kitandani analala mwenye pesa zake, janjaro nae analipwa mshahara.

Pesa hapa duniani ilishindwa kurudisha roho ya mtu ikikata ila vingine pesa ameweza.
Acheni ku overthink mambo, wewe una demu wako na pesa zako, kama hutaki kujulikana ni unakula Mali yako kimyakimya, sasa utafute mtu umlipe ili amuoe huyo demu wako wewe unakua unapata faida Gani? Au unamdanganya nani sasa? Janjaro alipiga ule mzigo sema Kuna watu hawakuamini sijui iliwauma ndo wanakuja na hizi propaganda
 
Yanga wamemtafutia lishangazi moja . To stimulate Aziz Ki to stay . what a great move . Pisi ina mimba ya aziz kii , soon anakuwa na mcheza mpira wa next generation . We wait . Will he stay ?!? We don’t know ? Ni mwendo ya plan b 😂 .
Ki haangalii mimba ya mtu, anataka Dola za Marekani laki tano

1716546063713.png
 
Back
Top Bottom