Aziz Ki atemwa Wydad Casablanca

Aziz Ki atemwa Wydad Casablanca

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,362
Reaction score
4,934
Screenshot_2026-01-22-19-30-04-97.png
 
Kaenda timu gani, mwamba
Anahitajika na Rhulani Mokwena nadhani MC Alger.
Anauzwa pesa ndefu sana. Yeye na mchezaji mwingine mwenzie pale Wydad toka South Africa wanatakiwa na Rhulani pia na matajiri wa Libya.
 
Arabs huwa wanachukua wale wachezaji wanaovuma kwenye klabu pinzani na klabu zao kimkakati ili kuzidhoofisha hivyo vilabu....Mara nyingine hata kama hawana nia na mchezaji basi wamtoa tu akakae bench

Kwa miaka ya karibuni wanazitarget Simba na Yanga, ila kwahuyu ni business
 
Arabs huwa wanachukua wale wachezaji wanaovuma kwenye klabu pinzani na klabu zao kimkakati ili kuzidhoofisha hivyo vilabu....Mara nyingine hata kama hawana nia na mchezaji basi wamtoa tu akakae bench

Kwa miaka ya karibuni wanazitarget Simba na Yanga, ila kwahuyu ni business
Achana na story za vijiweni wao wanafaidika nini? Wachezaji wenyewe ndio wakifika huko wana relax wanaona maisha wameyamaliza bila kujua wamepanda level ya ushindani inabidi kuongeza focus na mazoezi mbona Mayele, Dieng, , Traole wapo huko hawajashushwa viwango
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom