Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,916
- 30,259
- Thread starter
- #321
Duduwasha,Mjibujamaa kuwa ulikosea pale kusema Azizi Ali alikuwa Mwafrica Wa kwanza kujenga nyumba ya Vigae
Ungependa niendelee kueleza yaliyokuja baadae baada ya mswada
wa Dr. Kleruu kupotea maktaba ya TANU na kuchapwa kitabu?
Utakumbuka nilikuomba ruksa ya kusimama kidogo.