Aziz Ali wa Gerezani na Mtoni Dar es Salaam

hakuna

hakuna anayekuchagulia , bali weye ndiye unajarobu kuwachagulia watu waamini kipi na kuacha kipi! weye kama unaona hizi hekaya ! tuache na hekaya zetu! wewe chapa lapa tu! .. haina haja ya kufanya vurugu ndani ya thread
Njiwa,
Ndugu yangu Njiwa historia hii niliyoandika katika kitabu cha Abdul Sykes
imeumiza wengi.

Sababu kubwa ni kuwa kwa wale ambao walikuwa wageni wa historia ya
TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika, sahihisho lile la historia
iliyozoeleka iliwapiga kama dhoruba inayokuja ghafla tena usiiku watu wote
wamelala.

Jinsi walivyodhani na kuaminishwa ikaja kuwa ni kinyume sana tena sana.

Katika blog yangu www.mohammedsaid.com kuna makala zinazohusu gazeti
la Africa Events (London) gazeti ambalo lilichapa kwa mara ya kwanza makala
yangu iliyoeleza vipi TANU iliundwa na watu gani walikuwa washiriki wakuu.

Kupitia gazeti hili niliweza kupata uwanja huru wa kuandika historia ya TANU
kama nilivyoifahamu.

Atakae kujua yaliyopitikana miaka ile na aingie kwenye blog afanya search,
''Africa Events,'' makala hizo zote atazipata hapo.

Naweka link ya baadhi ya niliyoandika kuhusu AE na mengi yapo hapa JF:
  1. Mohamed Said: KUTOKA JF: AFRICA EVENTS LILIPOCHAPA KUMBUKUMBU YA ABDUL SYKES 1988
  2. Mohamed Said: KUTOKA JF: AFRICA EVENTS NA HISTORIA YA TANU 1988
  3. Mohamed Said: KUTOKA JF: AFRICA EVENTS NA MISUKOSUKO YAKE
  4. Mohamed Said: KUTOKA JF: GAZETI LA AFRICA EVENTS TOLEO LA MARCH/APRIL 1988 LILIPOKUSANYWA NA KUTIWA MOTO
Yamakagashi tumejadiliana kwa kirefu hapa jamvini kuhusu historia hii na
kama wengi mfano wa yeye, historia hii inawataabisha.

Lakini katika wote ambao waliumia khasa na kwa kweli kwa yale mapya yaliyokuwa
katika kitabu cha Abdul Sykes ni mwalimu wangu Prof. Haroub Othman.

Prof. Haroub alimuomba Mwalimu Nyerere na yeye aandike kitabu kiwe jibu
la kitabu changu.

Wanamajlis,
Hekaya sikuandika mimi.

Hekaya iliandikwa na Chuo Cha Kivukoni walipochapa kitabu cha Historia ya TANU
1954 - 1977 na ndani ya kitabu kile wakafuta wazalendo wote waliopigania uhuru
wa Tanganyika wakabaki na Mwalimu Nyerere peke yake.
 
Maalim mzee Mohamed Saidi
Nakushukuru sanaaaaa tu Kwa kutufungua macho Na historia ya Tanganyika Na Zanzibar.
Baada ya kusoma kifo cha mzee Hanga alivyo rejea kutoka Uingereza NI kaunganisha Na habari za mzee Baruani Na mzee Aman Thani walivyo teswa magarezani Zanzibar Na Tanganyika.Uhuru sio bure watu wengi wamemwaga damu kututetea.
Mzee Mohamed Saidi namuomba MwenyeziMungu akuzidishie afya njema,muda mrefu wa kutujuza na kila la kheri
Mgogoone,
Nakushukuru kwa dua zao.
Amin.

Baada ya Sheikh Ali Muhsin kusoma kitabu cha Sykes 1998 alinialika nikamtembelee
Oman na nilikwenda mwaka wa 1999 na nilipokea mengi kutoka kwake kuhusu historia
ya Zanzibar.

Kabla ya kwenda Muscat nilipita kwanza Dubai na nilizungumza na Aman Thani.
Kwa kweli namshukuru Allah kwa kunikutanisha na wapigania uhuru hawa.

Wakati ule Sheikh Ali Muhsin alikuwa keshaandika kitabu chake, ''Conflicts and Harmony
in Zanzibar,'' na Aman Thani alikuwa kaandika kitabu chake, ''Ukweli ni Huu.''

Kwangu mimi hii ilikuwa fursa kubwa sana.

Wakati huu Sheikh Ali Muhsin Barwani alikuwa anafanya tafsir ya Qur'an Tukufu na mdogo
wake Sheikh Abdallah Muhsin Barwani alikuwa anafanya tafsiri ya Sahih Bukhari.

Vitabu hivi vyote sasa vimeshachapwa mara kadhaa ni vinasomwa na kusomeshwa kote
ulimwenguni walipo wasemaji wa Kiswahili.

Nilielewa kwa nini utawala huu wa serikali ya akina Ali Muhsin ilikuwa lazima ipinduliwe kwani
Zanzibar ilikuwa Ngome ya Kusini katika kuendeleza Uislam.

Kutokana na ukweli huu halikadhalika kwangu mimi sasa ikawa hadhir zaidi kwa nini historia
ya uhuru wa Tanganyika ifutwe na kwa nini East African Muslim Welfare Society (EAMWS)
ilikuja kupigwa marufuku na serikali ya Nyerere 1968.

xLHb8hfvBenrSgEKrEDBQ3pRn7r_U0shAlXTi8hZ81K-lT2n9SzpG3q_ElrvWLtNVtJ1HX8W2qIkEp8kG3-o13RRQStW16WUQnp7nncreT3sMVJ9JehAb4WFEWuj5RYMc0d4lP0t5CIthP8PtiRGrcL8McOkbFHRtfFtks3O0sgWqm26NxDMkw4KVMGNGAasCyAtk6RvqJiw0tJlze57RRN22i1wKxeGJgSG1cA_CtIAp6ayrvTstl5Rd1zReD_570S5JzokOyODb4sWiPXi-WwnAZdXhAfmYgX-5ofd5ytYTc5A8mz7BoK0fXB5AzbEG_DeXNHUfSRWy_y8c5oIDMGnaUP8nFs7eLibsngpn_kMMmTpzkWyYyjHrrZ8jfoqVX1C2ViZC9d8uhZoawiq8SwFZkrI1PndZMeBjw6W77E01lszoutQGzkzrJRnpacOQmGfGzusLEBQrUt9IlsXLB5EzBSnxhDlfLFjDO7VJILTAgUAJu5S_LwkkjhtqGa7Z0J5SEgVWfBFakfb1RHkIbPwOf8maJN10bQKJ8DIox5MCr0gR052livorRjDHoFa1uOixP1cKob0RA8S-40uOZ3UvSO4tWRyiUDA94o9acIJaVt4Mg=w923-h692-no

Kulia: Sheikh Abdallah Muhsin Barwani, Sheikh Ali Muhsin Barwani, Mwandishi na Abdallah Amour Muscat 1999

Mwaka wa 1991 nilikutanishwa London na Abdulrahman Babu na mwenyeji wangu Ahmed
Rajab
na nilimuomba Babu aandike historia ya Mapinduzi ya Zanzibar ya 1964.

Ingawa alinifahamisha kuwa angefanya hivyo Babu hakuwahi kuandika historia hii.

Ilikuwa katika safari hii ya Muscat ndipo nilipojulishwa kwa Dr. Harith Ghassany msomi wa
Harvard na yeye mwaka wa 2003 akaja nichukua kama Mtafiti Msaiidizi katika utafiti wake wa
kuandika kitabu chake maarufu cha historia ya Zanzibar, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.''

Hii ilikuwa fursa kubwa sana kwangu kwani nilisoma mengi kwa Dr. Ghassany kuhusu historia
ya Zanzibar na mapinduzi na kujifunza mengi katika yale yaliyokuwa yakigonganisha Wazanzibari.
 
Wewe nini huelewi? Maana kila kitu nimeweka wazi hoja yangu asiweke chumvi zisizohitajika na historia ya Uhuru ipo tayari... Acha kucall kwa kufanya ni repeart nilichoandika tayari. Soma vizuri quote baada ya quote swali aliloulizwa mleta hoja halijibiwa na ndio limedhihilisha uongo na sifa za kijinga zimetumika na hazijakanushwa. Pls usiniquote pasipo na umuhimu.
Duduwasha,
Umezungumza kuhusu mimi, ''kutia chumvi,'' katika haya niandikayo.
Hebu nionyeshe wapi nimeweka chumvi ili nikupe majibu.

Na lipi hilo swali lako lisilokuwa na majibu kutoka kwangu?
Zipi hizo sifa za kijinga?

Ajabu sana historia hii inawapandisha mori watu wengi sana.
Ajabu ya Rahman.
 
Duduwasha,
Umezungumza kuhusu mimi, ''kutia chumvi,'' katika haya niandikayo.
Hebu nionyeshe wapi nimeweka chumvi ili nikupe majibu.

Na lipi hilo swali lako lisilokuwa na majibu kutoka kwangu?
Zipi hizo sifa za kijinga?

Ajabu sana historia hii inawapandisha mori watu wengi sana.
Ajabu ya Rahman.
Mohamed Said ,shekhe wangu
Asikuchoshe huyu .never argue with a fool. Huyu sio level yako anataka kukushushia heshima yako tu. Nia yake ni kuchafua uzi wako ili ukasirike (tumesha mwelewa lengo lake)
 
Mohamed Said ,shekhe wangu
Asikuchoshe huyu .never argue with a fool. Huyu sio level yako anataka kukushushia heshima yako tu. Nia yake ni kuchafua uzi wako ili ukasirike (tumesha mwelewa lengo lake)
Nadhani wewe kuni quote bila sababu nadhani ndio ulitaka kuchafua me upumbavu simandishi acheni nyege kama hauna point ya kujadili...
 
Duduwasha,
Umezungumza kuhusu mimi, ''kutia chumvi,'' katika haya niandikayo.
Hebu nionyeshe wapi nimeweka chumvi ili nikupe majibu.

Na lipi hilo swali lako lisilokuwa na majibu kutoka kwangu?
Zipi hizo sifa za kijinga?

Ajabu sana historia hii inawapandisha mori watu wengi sana.
Ajabu ya Rahman.
hamna cha mori wala mmasai historia zako chumvi nyingi kwa wasiohusika kisa alikuwepo kijiweni ati alipigania Uhuru? British watu aliowaita boy come here take that bloom and blah blah swali ulilo ulizwa mwanzo ukalikwepa kisha ukaishia kutukana tu na hadi sasa hujajibu... La Azizi Ally kuwa ndie Mwafrika Wa kwanza kujenga nyumba ya vigae. Kubali tu uliweka chumvi na umeharibu historia yako sababu ya uongo.
 
hamna cha mori wal
a mmasai historia zako chumvi nyingi kwa wasiohusika kisa alikuwepo kijiweni ati alipigania Uhuru? British watu aliowaita boy come here take that bloom and blah blah swali ulilo ulizwa mwanzo ukalikwepa kisha ukaishia kutukana tu na hadi sasa hujajibu... La Azizi Ally kuwa ndie Mwafrika Wa kwanza kujenga nyumba ya vigae. Kubali tu uliweka chumvi na umeharibu historia yako sababu ya uongo.
Duduwasha,
Yaani katika historia yote ya uhuru niliyoandika katika mjadala huu wewe
swali lako ni la Aziz Ali na nyumba yake ya vigae Mtoni?

Aziz Ali ni Mwafrika wa kwanza kununua gari Tanganyika na Mwafrika wa
kwanza kujenga nyumba ya vigae na madirisha ya vioo.

Mbona hili si swali?
Wala hakuna ''chumvi,'' yoyote katika haya nikuelezayo.

Hata hiyo njia ya kutoka Mtoni kwenda Mbagala ni gari yake ndiyo ilitifua
njia hiyo ikielekea Mbagala ambako alikuwa akiishi mmoja wa wake zake.

Barabara ya lami ilipokuja kujengwa ya Mtoni kwenda Mbagala ilifuata njia
ile ile iliyokuwa ikipita gari ya Aziz Ali.

Mimi sijatukana hapa JF kama una ushahidi ulete sote tuuone.
Wala uongo si sifa yangu.

Kila nikiletacho hapa najua ithabati yake.
Pole sana ndugu yangu.

Ghadhabu zimekutangulia ndiyo maana unashindwa kufikiri hata na kuandika
vizuri.

Punguza hilo joto katika kifua chako.

Soma kwa utulivu historia hii ya wazee wangu na njoo na maswali ya busara
yatakayojenga mjadala na kuleta faida kwa jamii.
 
Mgogoone,
Nakushukuru kwa dua zao.
Amin.

Baada ya Sheikh Ali Muhsin kusoma kitabu cha Sykes 1998 alinialika nikamtembelee
Oman na nilikwenda mwaka wa 1999 na nilipokea mengi kutoka kwake kuhusu historia
ya Zanzibar.

Kabla ya kwenda Muscat nilipita kwanza Dubai na nilizungumza na Aman Thani.
Kwa kweli namshukuru Allah kwa kunikutanisha na wapigania uhuru hawa.

Wakati ule Sheikh Ali Muhsin alikuwa keshaandika kitabu chake, ''Conflicts and Harmony
in Zanzibar,'' na Aman Thani alikuwa kaandika kitabu chake, ''Ukweli ni Huu.''

Kwangu mimi hii ilikuwa fursa kubwa sana.

Wakati huu Sheikh Ali Muhsin Barwani alikuwa anafanya tafsir ya Qur'an Tukufu na mdogo
wake Sheikh Abdallah Muhsin Barwani alikuwa anafanya tafsiri ya Sahih Bukhari.

Vitabu hivi vyote sasa vimeshachapwa mara kadhaa ni vinasomwa na kusomeshwa kote
ulimwenguni walipo wasemaji wa Kiswahili.

Nilielewa kwa nini utawala huu wa serikali ya akina Ali Muhsin ilikuwa lazima ipinduliwe kwani
Zanzibar ilikuwa Ngome ya Kusini katika kuendeleza Uislam.

Kutokana na ukweli huu halikadhalika kwangu mimi sasa ikawa hadhir zaidi kwa nini historia
ya uhuru wa Tanganyika ifutwe na kwa nini East African Muslim Welfare Society (EAMWS)
ilikuja kupigwa marufuku na serikali ya Nyerere 1968.

xLHb8hfvBenrSgEKrEDBQ3pRn7r_U0shAlXTi8hZ81K-lT2n9SzpG3q_ElrvWLtNVtJ1HX8W2qIkEp8kG3-o13RRQStW16WUQnp7nncreT3sMVJ9JehAb4WFEWuj5RYMc0d4lP0t5CIthP8PtiRGrcL8McOkbFHRtfFtks3O0sgWqm26NxDMkw4KVMGNGAasCyAtk6RvqJiw0tJlze57RRN22i1wKxeGJgSG1cA_CtIAp6ayrvTstl5Rd1zReD_570S5JzokOyODb4sWiPXi-WwnAZdXhAfmYgX-5ofd5ytYTc5A8mz7BoK0fXB5AzbEG_DeXNHUfSRWy_y8c5oIDMGnaUP8nFs7eLibsngpn_kMMmTpzkWyYyjHrrZ8jfoqVX1C2ViZC9d8uhZoawiq8SwFZkrI1PndZMeBjw6W77E01lszoutQGzkzrJRnpacOQmGfGzusLEBQrUt9IlsXLB5EzBSnxhDlfLFjDO7VJILTAgUAJu5S_LwkkjhtqGa7Z0J5SEgVWfBFakfb1RHkIbPwOf8maJN10bQKJ8DIox5MCr0gR052livorRjDHoFa1uOixP1cKob0RA8S-40uOZ3UvSO4tWRyiUDA94o9acIJaVt4Mg=w923-h692-no

Kulia: Sheikh Abdallah Muhsin Barwani, Sheikh Ali Muhsin Barwani, Mwandishi na Abdallah Amour Muscat 1999

Mwaka wa 1991 nilikutanishwa London na Abdulrahman Babu na mwenyeji wangu Ahmed
Rajab
na nilimuomba Babu aandike historia ya Mapinduzi ya Zanzibar ya 1964.

Ingawa alinifahamisha kuwa angefanya hivyo Babu hakuwahi kuandika historia hii.

Ilikuwa katika safari hii ya Muscat ndipo nilipojulishwa kwa Dr. Harith Ghassany msomi wa
Harvard na yeye mwaka wa 2003 akaja nichukua kama Mtafiti Msaiidizi katika utafiti wake wa
kuandika kitabu chake maarufu cha historia ya Zanzibar, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru.''

Hii ilikuwa fursa kubwa sana kwangu kwani nilisoma mengi kwa Dr. Ghassany kuhusu historia
ya Zanzibar na mapinduzi na kujifunza mengi katika yale yaliyokuwa yakigonganisha Wazanzibari.

Maalim Mohamed Saidi asante Kwa darsa zuri.
Baada ya kumsikiliza sheikh Baruwani Na mzee Aman Thani pamoja Na vitabu vingi nilivyo soma kuhusu EAMWS.Nimeona NI haki wale wasaliti kina Hanga,Twaa,Jaha Ubwa,Na Sadaallah yalio wakuta.Kutokana Na sheikh Muhsin Baruwani walikubaliana serikali ya mseto lakini wasaliti wakawageuka na waingereza walinyamaza ndio yakatokea.
Nawaombea sana tu ndugu zetu wa Zanzibar
Waondokewe Na ubaguzi Na roho za husda
Tena nawaombea wapendane Na waishi Kwa amani.
 
Maalim Mohamed Saidi asante Kwa darsa zuri.
Baada ya kumsikiliza sheikh Baruwani Na mzee Aman Thani pamoja Na vitabu vingi nilivyo soma kuhusu EAMWS.Nimeona NI haki wale wasaliti kina Hanga,Twaa,Jaha Ubwa,Na Sadaallah yalio wakuta.Kutokana Na sheikh Muhsin Baruwani walikubaliana serikali ya mseto lakini wasaliti wakawageuka na waingereza walinyamaza ndio yakatokea.
Nawaombea sana tu ndugu zetu wa Zanzibar
Waondokewe Na ubaguzi Na roho za husda
Tena nawaombea wapendane Na waishi Kwa amani.
Mgogoone,
Ahsante sana kwa dua zako juu ya ndugu zetu Zanzibar.

Kassim Hanga alijuta na aliacha usia kwa ndugu zake Wazanzibari
wajiepushe na ubaguzi.

Unaweza kupata habari zaidi za Hanga hapo chini:
  1. Mohamed Said: VIDEO: MAISHA NA NYAKATI ZA ABDULLA KASSIM HANGA
  2. Mohamed Said: VIDEO: MAISHA NA NYAKATI ZA ABDULLA KASSIM HANGA II
  3. Mohamed Said: MAISHA NA NYAKATI ZA ABDULLA KASSIM HANGA MHADHARA WA KIHISTORIA ZANZIBAR NA AHMED RAJAB
  4. Mohamed Said: KUTOKA KUMBUKUMBU ZA JF: KIFO CHA ABDULLA KASSIM HANGA
  5. Mohamed Said: SAFARI YA MWISHO YA HANGA UWANJA WA NDEGE WA DAR ES SALAAM
  6. Mohamed Said: KUULIWA KWA ABDALLAH KASSIM HANGA
 
Maalim Mohamed Saidi Asante sana.Maalim Kwa kweli nakusoma sana kwenye tovuti yako.
Nameikuta mada ya Dr.Kigoma malima "Awajibu JamiiForums Toka kaburini"
Maalim Mohamed Saidi Ubarikiwe sanaaaaa tu
 
Historia nzuri
Huyo Mama Ali anaweza kutupa historia nzuri sana,
Wana historia wangemtembelea kuzungumza naye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom