KAKA NASOKI
Senior Member
- May 25, 2016
- 191
- 212
Nyingi zilichukuliwa na serikali mfano Forodhani, Ilboru, Kigurunyemebe chuo cha ualimu, Pugu secondari n.k.Moja ya Nguzo za Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni kutaifisha vyanzo vyote vya Uchumi ikiwamo Mabenki, Mashirika ya Bima, Vyuo & Shule binafsi.
Swali ni kwamba kwanini Shule za Seminari hazikutaifishwa?
Kibasila ilikuwa ya magoa nayoKigonsera,tosamaganga,kilakala,kibasila,forodhani(st Joseph)sasa hivi imerudishwa tena kwa mmiliki wa awali.
Shule zote walizozichkua waliziuaaaaNia ilikuwa ni nzuri lakini matokeo yakawa mabaya
Umedanganya,Kibasila,Kilakala,tosamaganga hazijarudishwaKigonsera,tosamaganga,kilakala,kibasila,forodhani(st Joseph)sasa hivi imerudishwa tena kwa mmiliki wa awali.
Kanisa Lina nguvu nyingi na Tanganyika ina mlezi Fulani wa kikatoliki.Mfumo Kristu kazini.Zingatia siyo mfuma kristo ni mfumo kristuKwa sababu nyerere alibatizwa na kuwa mkatoliki
Ight schoolUnajua kwamba Kigonsera ilikuwa ni Seminari? Umewahi kuisikia shule inaitwa Tosamaganga? Umewahi kuisikia shule inaitwa Matola nk? Unajua zilikuwa zinamilikiwa na nani?
Hazikuwa seminari,zilikuwa shule za kanisa lakini si seminari .Ni kama zilivyo Marian,Loyola,St Anthony,St. Joseph ,Liberman na nyingine nyingiTosamaganga, kigonsera, pugu n.k zote zilitaifishwa
Yeye kaulizia kuhusu Seminari,siyo Kila shule ya Kanisa ni seminari.Zingine hutoa elimu kwa watu wote hazina lengo la kuandaa watawa.Nadhani mleta Mada umeshapata baadhi ya majina ya shule zilizotaifishwa wakati wa azimio la Arusha shule Kama Nganza,Tosamaganga,pugu,Nsumba,Milambo na nyingine nyingi tu zilikuwa za kanisa katoriki.
+ndanda boysUnajua kwamba Kigonsera ilikuwa ni Seminari? Umewahi kuisikia shule inaitwa Tosamaganga? Umewahi kuisikia shule inaitwa Matola nk? Unajua zilikuwa zinamilikiwa na nani?
Una uhakika Tabora boys ilikuwa ya Kanisa?Hakuna shule ambazo hazikutaifishwa ila wakatoliki waliziomba Tena baadhi wakapewa baadhi hawakupewa mfano ni tabora boy, mzumbe boy, kilakala girl na nyingine nyingi Sana... Kwa upande wa waislam wao hawakuwa na shule nyingi na ili kubalance uwiano ndio shule za kiislam zilizotaifishwa zikawekwa chini ya bakwata...
Ila tu nikwambie hakuna taasisi ambayo haikuonja chungu ya utaifishaji enzi hizo... So wazungu, waarabu na wahindi walikipata pata..kama wahindi walikuwa na majengo karibu kila mji hapa tanzania ambayo Leo hii ni majengo ya national house yalikuwa ni ya wahindi mengi ila yote serikali iliyachukua mengi Hadi Leo yamekuwa Mali ya serikali moja kwa moja....
Tabora boys ilikuwa shule ya serikali kwa ajili ya watoto wa Mchifu ikiitwa Tabora school.Hivi kumbe Tabora boys nayo ilikuwa ni ya kanisa,sikufahamu hili nilikua najua ni Milambo high school tu pale Tabora manispaa ndiyo iliyotaifishwa kwa wakati ule.
Baada ya kuziua wakazirejesha zikiwa chovu kabisa.Hakuna kipya walichofanyaShule zote walizozichkua waliziuaaaa
Ova
Kweli hizo shule hazikurudiUmedanganya,Kibasila,Kilakala,tosamaganga hazijarudishwa
Iyunga ile shule swimming pool waligeuza kuwa dampo ya takaBaada ya kuziua wakazirejesha zikiwa chovu kabisa.Hakuna kipya walichofanya
Tunasubiri msaada kutoka Oman# kila mwenye dini yake anakuambia mi nina ndugu zangu Oman mwisho wanabaki kuletewa tende,mikeka na simu.Baadhi ya hawa ndugu zetu wamekuwa ni watu wa kulalamika tu lakini hawafanyi jitihada zozote za kujiinua. Huu utaratibu wao wa kudhani wanaonewa kila siku utawagharimu sana. Wenzao kila uchao makanisani wanachangishana michango kwaajili ya ujenzi wa shule na hospitals, wao hakuna la maana wanalofanya, badala yake wanabaki kulalama tu
Azimio la Arusha lilikuwa kwa ajili ya kuzuia kujilimbikizia mali kama mtu binafsi, sio taasisi, na makanisa ni taasisiMoja ya Nguzo za Azimio la Arusha la mwaka 1967 ni kutaifisha vyanzo vyote vya Uchumi ikiwamo Mabenki, Mashirika ya Bima, Vyuo & Shule binafsi.
Swali ni kwamba kwanini Shule za Seminari hazikutaifishwa?
Kweli wewe ni abdallah kichwa waziAzimio la Arusha lililenga nn?
Nyie wafuga ndevu na wavaa kobazi mlitafishiwa nini?