pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,594
- 2,979
inatisha,hivi mtu unahakikishaje kuwa fulani ni mchawi kiasi cha kuamua kumuua?mi nahisi wengi wanauliwa bila hatia.
kwa hakika hiyo ni kweli. k
Kama vile wanaouawa mitaani kwa kushukiwa kuwa wezi - wengine huwa hawana hatia lakini wanatiwa kiberiti.