Azania Sec. School (SPECIAL THREAD)

Da kumbe tupo wengi, nilipitia hapo 1994-1997 na kuelea Songea Boys kabla ya kurudi Tambaza hadi 2000. Mchwampaka angekuwa hai leo, zile fimbo zake za kuwaadabisha wachelewaji zingempeleka the Hague ya Milard Ayo TV.
 
Da kumbe tupo wengi, nilipitia hapo 1994-1997 na kuelea Songea Boys kabla ya kurudi Tambaza hadi 2000. Mchwampaka angekuwa hai leo, zile fimbo zake za kuwaadabisha wachelewaji zingempeleka the Hague ya Milard Ayo TV.
Yaani kusoma tu Azania mwanafunzi unajiona umemaliza kila kitu. Mabifu na makondakta ilikua kawaida tu.

Pale kituo Cha "fire" Kondakta akileta sijui mwisho wanafunzi watano anavutwa tu chini watu wanaingia, na wanaenda kukaa.

🎶In the heaven of peace, Azania stands at ease, forever, together, we always say,

You are known far and wide, you are always our guide, we will never forget you 🎶
 
Nilipita hapa enzi za Chavila na Ngozye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…