Azamtv pekee ndio wapo juu ya sheria

Azamtv pekee ndio wapo juu ya sheria

Kennethmhaiki

Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
64
Reaction score
37
Serikali na sheria pia zinasema channel za ndani ikiwepo azam one,azam two,azamsport hd na zingine zioneshwe bure ila mpaka sasa mwaka unaisha hawafuati sheria za nchi..
Je hii inamaana azamtv wapo juu ya sheria? Wafuate sheria zetu zilizotungwa na bunge tukufu..
 
Hiyo azam tv haipati ruzuku kutoka Serikalini kama TBC kwa hiyo wana haki ya kulipwa
 
Serikali na sheria pia zinasema channel za ndani ikiwepo azam one,azam two,azamsport hd na zingine zioneshwe bure ila mpaka sasa mwaka unaisha hawafuati sheria za nchi..
Je hii inamaana azamtv wapo juu ya sheria? Wafuate sheria zetu zilizotungwa na bunge tukufu..
Rudi startimes kumenoga, furushi la 11,000/- unaoneshwa mechi zote za bundesiliga, baadhi za efl, turkey, ligue 1, la liga na belgium.

Europa kama kawaida, uefa tu ndo sijafuatilia.

Azam nilikinunua kwa mbwembwe lkn nilipolipia halafu naishia kuona mechi ya simba na ndanda, nikaona ni upuuzi kubaki azam.

Kwa sasa vyote viko connected lkn kinacholipiwa ni startimes, naona wana huduma nzuri kuliko azam.

Azam mitambo yao iko nje ya nchi hivyo hawana hata moja ambayo ni local, zote kwao ni za kulipia.

Ila wao wameachia tbc1 ni fta
 
Write your reply...azamtv wakirudia kuanza kusoma habari itakuwa safi sana
 
TBC bure,sawa ni kodi yetu sasa wasilazimishe bure,Azam wamewekaza na wanaonyesha kwa pesa zao, Kenya wanaonyesha chanel 7 Uganda 12 na watu wanalipia,dunia ya leo hamna bure.
 
TBC bure,sawa ni kodi yetu sasa wasilazimishe bure,Azam wamewekaza na wanaonyesha kwa pesa zao, Kenya wanaonyesha chanel 7 Uganda 12 na watu wanalipia,dunia ya leo hamna bure.
tatizo sheria ndo ishu
 
Back
Top Bottom