azam pesa bado wanajitafuta kisoko na selcom ni ya siku nyingi nandio inashugulikia miamala yote kwenye mitandao nchi nzima.Salamu wadau, kwema?
Nilikuwa nataka kujua hizo huduma hapo juu, Kwa anayetumia. Yupi yup ahead zaidi ya mwenzie? Wapi Kuna makato nafuu? Nasoma komenti
Selcom Pesa wametisha zaidi. Makato nafuu kuliko. Unaweza fanya miamala mitano kwa jero pia Selcom Pesa unapata bank account hapo kwa papo. Kifupi jamaa wameweza sanaSalamu wadau, kwema?
Nilikuwa nataka kujua hizo huduma hapo juu, Kwa anayetumia. Yupi yup ahead zaidi ya mwenzie? Wapi Kuna makato nafuu? Nasoma komenti
Wanasubir mjae waweke makato.Selcom Pesa wametisha zaidi. Makato nafuu kuliko. Unaweza fanya miamala mitano kwa jero pia Selcom Pesa unapata bank account hapo kwa papo. Kifupi jamaa wameweza sana
Karibu selcom mkuu makato sio makubwa sanaShukran wote kwa mrejesho
Hii kitu watu hawaijui naona wamesahau hata halotel kipindi cha nyuma ilikuwa na makato madogo sana ila asaivi ni kama mitandao mingine mikubwa kwa makatoWanasubir mjae waweke makato.