Azam yapoteza ubora wa picha

khairun

Member
May 10, 2012
68
42
Nimekuwa nikiangalia mechi za mpira wa miguu za tanzania kupitia king'amuzi cha azam kwenye Smat TV. Niliangalia mechia ya yanga na simba ya tarehe 12 July 2020 na mechi ya Yanga na Singida ya tarehe 15 July 2020.

Zote zinaubora mbovu kabisa. Sijawahi ona obora wa hovyo kama kwenye picha za mechi hizo.
 
Nimekuwa nikiangalia mechi za mpira wa miguu za tanzania kupitia king'amuzi cha azam kwenye Smat TV. Niliangalia mechia ya yanga na simba ya tarehe 12 July 2020 na mechi ya Yanga na Singida ya tarehe 15 July 2020.

Zote zinaubora mbovu kabisa. Sijawahi ona obora wa hovyo kama kwenye picha za mechi hizo.
Hiyo smart Ak4 or full hd kama unamikiki hizo kitu tumia dstv mkuu maana kama Ak4 usijaribu kununua movie za DJ mac utacheka azam bado sana kupata full hd
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom