Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
Najiepusha kuzungumzia matokeo ya leo pale Kwa Mkapa. Kwa Yanga hii, Simba haifui dafu. Simba walipotoka sare mbili na Al Ahly nilisema kuwa walikutana vibonde watupu. Wababe wa AFL wanacheza baadaye: Wydad v Mamelodi
Ilipotoka ratiba kuonesha kuwa Yanga amepangiwa mechi nne 'ngumu' mfululizo za Azam, Singida BS, Simba na Coastal Union wengi wasiofahamu uimara wa Yanga hii walipatwa na uoga.
Lakini, hadi leo hii Yanga wameshakusanya alama tisa kwa kushinda mechi tatu mfululizo dhidi ya Azam, Singida BS na leo amekandwa Simba. Sasa amebaki Coastal Union. Yanga yaweza kuzoa alama zote 12 katika mechi nne hizi.
Yanga hii ni hatari...ni kiboko. Hata wapinzani kwenye klabu bingwa wanakaa mkao wa kula..wanakaa kwa uoga na tahadhari kubwa. Yanga hii ina morali kubwa hasa kipindi cha pili.
Yanga iko vizuri. Simba wajipange sana...labda kama derby ingechezeshwa na....
Ilipotoka ratiba kuonesha kuwa Yanga amepangiwa mechi nne 'ngumu' mfululizo za Azam, Singida BS, Simba na Coastal Union wengi wasiofahamu uimara wa Yanga hii walipatwa na uoga.
Lakini, hadi leo hii Yanga wameshakusanya alama tisa kwa kushinda mechi tatu mfululizo dhidi ya Azam, Singida BS na leo amekandwa Simba. Sasa amebaki Coastal Union. Yanga yaweza kuzoa alama zote 12 katika mechi nne hizi.
Yanga hii ni hatari...ni kiboko. Hata wapinzani kwenye klabu bingwa wanakaa mkao wa kula..wanakaa kwa uoga na tahadhari kubwa. Yanga hii ina morali kubwa hasa kipindi cha pili.
Yanga iko vizuri. Simba wajipange sana...labda kama derby ingechezeshwa na....