DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,613
- 2,884
Itakuwa ni kweli Nimesikia kwenye Sports Court wakiitangaza kama breaking news ( habari ya papo kwa papo).Hii taarifa ina usahihi na uhakika upi? Mbona kwenye vituo vyao rasmi sijaona hii taarifa?
Anyway tungoje.

