wewe sio mtu Mpira
Hatujakataa kuiga vitu vizuri toka kwa wenzetu ila lazima tutambue jambo kuwa sio kilankotu kinawezekana kucopy.
Mechi za saa nane zina gharimu sana vilabu...hamna mashabiki kabisa. Tena bora mechi saa nane wikend...wanaweka mechi saa nane on a wikday!!!
Sawa tv rights nizake na hapa mwenye hela ndio ana mabavu but busara itumike