Azam VS Star times kwa Sasa!

Azam VS Star times kwa Sasa!

rikiboy

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
22,164
Reaction score
43,854
Baada ya Dstv kufutiwa Local channels kwa kweli Sina mood nayo kabisa labda kuangalia mpira Tu...! So Ushauri jamani kati ya Star times na Azam kipi King'amuzi bora kuanzia gharama mpaka kuhimili hali mbaya za hewa??? Kipi kinaonyesha Local Channels bure??

NB: Tokana na mabadiliko waliyoleta TCRA na sheria zao kuna mabadiliko makubwa sana kwenye Ving'amuzi so Mods msiunganishe huu uzi na Uzi wa mwaka 2017 huko please...
 
Baada ya Dstv kufutiwa Local channels kwa kweli Sina mood nayo kabisa labda kuangalia mpira Tu...! So Ushauri jamani kati ya Star times na Azam kipi King'amuzi bora kuanzia gharama mpaka kuhimili hali mbaya za hewa??? Kipi kinaonyesha Local Channels bure??

NB: Tokana na mabadiliko waliyoleta TCRA na sheria zao kuna mabadiliko makubwa sana kwenye Ving'amuzi so Mods msiunganishe huu uzi na Uzi wa mwaka 2017 huko please...
Azam hakuna local channels ni kama DSTV tu mkuu
 
Mkuu hawa Jamaa sijui wanatumia utaratibu gani, home kipo Startimes lakini hakilipiwi na kinaonesha local channels free kina kama miezi3 tangu kianze na hakikulipiwa kitu chochote
Yaani ni wahuni... ukitaka kusichohitaji kulipiwa kina bei yake.. kwa hiyo hayo makato wanayakata indirect, mfano cha dishi ukinunua 84 elfu hutakaa uone chanel hata moja hata TBC haioneshi ila ukiongeza hiyo elfu 40 ndio unaona zile za bure, hawa jamaa hawafai hata kidogo na sijui wanapata wapi kiburi hiki cha kuiba
 
Local channel ya bure ni TBC 1 pekee,
Nalipa elfu 14 kwa mwezi naona channel zote bundesliga,Turkish premier ligi,Europa ligi na copa sudamericana yani burudan kwa kwenda mbele
 
King'amuzi gani????
Local channel ya bure ni TBC 1 pekee,
Nalipa elfu 14 kwa mwezi naona channel zote bundesliga,Turkish premier ligi,Europa ligi na copa sudamericana yani burudan kwa kwenda mbele
 
Baada ya Dstv kufutiwa Local channels kwa kweli Sina mood nayo kabisa labda kuangalia mpira Tu...! So Ushauri jamani kati ya Star times na Azam kipi King'amuzi bora kuanzia gharama mpaka kuhimili hali mbaya za hewa??? Kipi kinaonyesha Local Channels bure??

NB: Tokana na mabadiliko waliyoleta TCRA na sheria zao kuna mabadiliko makubwa sana kwenye Ving'amuzi so Mods msiunganishe huu uzi na Uzi wa mwaka 2017 huko please...

mkuu, kwanza tambua AZAM hana chanel za bure, mwenye chanel za bure ni STARTIMES, TING, CONTINENTAL na DIGITEK.

Sasa kuhusu local chanel ni kwamba, startimes local chanel zinapatikana bure, vingamuzi vyao gharama yake ni 150,000 kile cha dish na 99,000 kile cha antena! sasa walichokifanya kwa kuwa watu wengi wanashindwa lipia 150,000 wametoa 44000 (kama sijakosea) alafu unanunua 106,000, local chanel unazipata kama kawaida ila hela yko ikiisha inabidi ulipie. ukitaka uzipate moja kwa moja wanakwambia malizia ile 44,000 watakufungulia moja kwa moja. kwa wale wateja wenye uwezo wa kununua 150000 moja kwa moja wao wanapata local chanel hizi bure.


Kwa vile ving'amuzi vyao vya antena ukinunua 99,000 unapewa na antena na unapata chanel za bure moja kwa moja.

Ukija upande wa vipindi honestly speaking naona startimes wameimprove sanaaaa, ingawa AZAM anawabit kwa Premier league.
 
Back
Top Bottom