Timu ya soka ya simba ya jijini daresalam imetolewa kwenye mashindano ya mapinduzi ya zanzibar baada ya kufungwa na azam, kwa penelt tano kwa nne katika mchezo uliochezwa dakika mai moja na ishirini.azam ambayo ilicheza pungufu baada ya wachezaji wake wawili kupewa kadi nyekundu ndio iliyokua ya kwanza kupata bao katka dakika ya 12 lilifungwa na umonyi kwa kichwa. umeme kani zanzibar ulikatyka gafla na kukaa kama dakika39....simba ilifanya mabadiko ya kuingiza wachezaji watatu kwa mpigo mabadiko yaliyo wasaidi kupata goli la kusawazisha dakika ya 39 lilofungwa na rashid ismaIL. mpaka dakika 90 zamalizaka magoli yalikua moja kwa simba na mpoja kwa azam.zikaaongezwa dakika 30 na katika dakika ya 111 simba ikapat goli la pilililofungwa na miraji mndeme aliyeingia kuchukua nafasi ya ramadhanui singano. mpira ukielekea kuisha katika dakika ya 119 paulo ngelema alicheza faulo ndani ya box na mwamuzi akatoa penalt kwa azam na ikapigwa wakasawazisha.mpaka dakika 120 zinaisha magoli yaliku ni 2-2 hivyo ikapigwa mikwaju ya penalt mabapo azamu walipata 5 na simba 4.,,, katika mechi hiyo simba ilichezesha kikosi cha pili kasoro komabil keita aliyekua nahodha kwa siku hiyo.waliopewa kadi nyukundu kwa upande wa azam ni ibrahim mwaipopo na jabir aziz