CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
- Thread starter
- #41
Gooooooooooooooo.
Dk 112:
Simba2-1Azam.
Mfungaji Miraji Madenge.
Dk 112:
Simba2-1Azam.
Mfungaji Miraji Madenge.
Sio senta half ni senta fowadi anaitwa Rashid Ismail.Kuna dogo mmoja hivi wa kikosi cha pili ni senta hafu wa Simba kwa leo.
Gooooooooooooooo.
Dk 112:
Simba2-1Azam.
Mfungaji Miraji Madenge.
Azam wameshusha mziki wao wote lakini ni wabovu sana.
Ila Kipa wao Mwadini ni mzuri sana anawabeba.
Wameingia gharama kupakia basi lao na kuja nalo hapa zenji lakini hamna kitu.
Duh ahsante mkuu naona simba tunatakata
Kamalizie hadithi ya kuachwa kilema. Mi nilijua hauko tena JF mpaka urudi.
Haya penalt mwadini ataokoa jahazi
Mkuu hata wakitufunga kwa timu yetu ya leo sitaumia kwa kweli, azam wameishakuwa mdebwedo kwa simba