Azam vs Simba-Mapinduzi cup 09.01.2013!

Azam vs Simba-Mapinduzi cup 09.01.2013!

Gooooooooooooooo la!
Simba wanakosa goli la wazi.
 
Azam wameonyesha udhaifu mkubwa, kikosi cha Simba ni cha kuungaunga lkn bado wana maliza dk 90 wakiwa 1-1!!!!, leo mastaa wa Simba akina Boban wamekwaa pipa kuelekea Oman, Kaseja na Ngasa wameelekea Misri na Timu ya Taifa: Zanzibar wamebaki akina nani sasa.
 
Dk 30 za nyongeza ndio zimeanza sasa.
Simba wanashambulia sana.
 
Gooooooooo lah!
Dk ya 95:Azam anakoswa goli hapa.
 
Dk 30 za nyongeza ndio zimeanza sasa.
Simba wanashambulia sana.
Vyovyote itakavyo kuwa Azam wasiposhinda mechi ya leo basi hawafai kuwa mshindi wa pili katika ligi yetu ya Vodacom-Tanzania
 
Goooooooooooo lah.
Dk ya103.
Simba wanakosa goli jingine.
 
Vyovyote itakavyo kuwa Azam wasiposhinda mechi ya leo basi hawafai kuwa mshindi wa pili katika ligi yetu ya Vodacom-Tanzania
Azam wameshusha mziki wao wote lakini ni wabovu sana.
Ila Kipa wao Mwadini ni mzuri sana anawabeba.
Wameingia gharama kupakia basi lao na kuja nalo hapa zenji lakini hamna kitu.
 
Back
Top Bottom