Anatumia concentrate hizo anazochukua anazifanya pulp for future use afu anachanganya maji na mengine ni trade secret ambayo sote hatujuiMiezi kadhaa iliyopita nilienda Mwandege kuliko kiwanda cha azam cha juisi.
Nilikuta ma semi tailer yamejaa ukwaju kutoka
1.Shinyanga
2.Mombasa na
3.Uganda.
Ukwaju kanda ya ziwa hasa mkoa wa Shinyanga unapatikana kwa wingi sana, ni miti mikubwa kama miembe tu.
Azam alitoa tenda kwa watu kumkusanyia tani kadhaa halafu yeye anaenda kuchukua tu,ila kwa kuwa mahitaji yake yalikua makubwa ilibidi atafute tena kutoka nchi jirani.
Azam anatumia ukwaji halisi na sio concentrates
Ahaa.Hiyo juice ya ukwaju ya azam
😁 😁 😁 😁 😁 😁 🤭🤭🤭 at your own risk
Sio ile ya kunyonya hii juice ipo kwenye kichupa ni tamu mnooAhaa.
Ile ya kunyonya?
Ya chupa
Niletee ikiwezekana box zima
Azam kwa sasa wananunua ukwaju wote unaopatikana nchini
Ukwaju unapatikana kwa wingi maeneo ya kati ya nchi kama singida
Kwa hio ID yako huyu ni 'ndg yetu katika imani' inabidi atetewe tu.Watanzania ndo tulivo kila mtu ni mtaalam wa kila kitu ndo maana tunakwama. Watu wanakunywa juisi kama unga unachanganya na maji lita 2 kwa pakti 1 sijasikia madokta wanakuja na tafiti zao za kihuni kukosoa leo Azam kawaza nje ya boksi kaja na bidhaa tayari kila mtu anakuja na utafiti wa kupinga. Eti ukwaju anautoa wapi wakati huo anaeohoji utakuta ye kwake anakunywa uji wa ukwaju sasa sijui yeye anautoa wapi ukwaju wa uji
Anatumia concentrate hizo anazochukua anazifanya pulp for future use afu anachanganya maji na mengine ni trade secret ambayo sote hatujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Maziwa ni asas tu......ukitembelea pale iringa unaona kabisa ng'on be, maziwa na zile mashine za kukamulia
Dodoma na Singida wapo wanaolima ukwaju! Ukwaju siyo zabibu.Wanakusanya kwa wingi katika walimaji wadogo wadogo ambao unakusanywa kipindi cha mavuno
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kufahamu Azam ukwaju wanaotumia kutengenezea juice ya ukwaju (ukwaju halisi)wanapata wapi?hili zao inalimwa wapi kwa uwingi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri. Maandishi kwenye chupa yanasemaje? Kila product huwa wanaandika imetumika kutengezwa kwa mchanganyiko wa nini.
Una umri gani?Kwa hio ID yako huyu ni 'ndg yetu katika imani' inabidi atetewe tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nimemaliza la 7 nasubiri kwenda form 1 mwakani.Una umri gani?