Azam TV, wizi kwa wote

Azam TV, wizi kwa wote

Dstv ndo mpango

nao wamejiingiza kwenye utapeli! wamezima risiva nyingi za 3-u, hasa kama hujatumia miez 2 kuendlea. ukienda ofisin kwao eti hawawez ku-upgrade hvyo wanashauri ununue mpya! naendlea kushughlika nao mpaka watoe muafaka sahih kwa risiva yang ambayo haijatumika hata mwaka ingawa imemalza mwaka toka kununua. kwanin risiva za model hiyo ndo zmekufa? yamkin wamefanya makusud!. wana huduma bora sawa! sasa kwa nin wameanza ubabaishaji?
 
Namalizia mwezi huu narudi kwenye DSTV yangu ya 17,000/= wanaongeza pesa kwa ile michanel yao ya bure hovyo kabisa.
 
Azam anafanya biashara sio anatoa msaada,jamaa analipa kodi,na hana ruzuku,channel zake sio local.hawezi kununua channel kubwa za nje kwa bei kubwa halafu auze bei ndogo KWAHIYO SIO SAHIHI KUMUITA MWIZI.Kosa lake ni kutotoa taarifa mapema za bei mpya.

Huo ndo wizi sasa au wewe unataka wizi wa aina gani
 
Channel nyingi kwenye Azam ni za bure,wewe hizo channel za kihindi zilizojaa humo analipia kwa nani,mbona karibu zote ni channel ambazo zinapatikana free?aweke kama supper spot 1 na channel kama hizo nido uongee haya unayoongea

Hapo ata akisema 50 tumo
 
Mmewekewa chaneli ya madrid na liverpool ndo mlipe 12500? Bado ligi ya bongo unaona

Mkuu haimaanishi ndo mtaona live matches za timu hizo.. Mara nyingi tv za vilabu vinaonyesha mahojiano na maendeleo ya klabu.. Matches wanaonyesha recorded baadae..
 
Mkuu haimaanishi ndo mtaona live matches za timu hizo.. Mara nyingi tv za vilabu vinaonyesha mahojiano na maendeleo ya klabu.. Matches wanaonyesha recorded baadae..
Mkuu nalitambua hilo pamoja na hayo yote bado anaunafuu kulingana na wenzake kwa gharama.
 
kama kuna mtu anaweza aweke channel za ving'amuzi vyote na bei zake tuone ipi bora sio kulalamika kwamba bei kubwa
 
Azam TV walisema wana aina moja ya kifurushi ambacho cost yake ni Tsh 12500. Leo bila ya taaarifa yoyote wanapandisha kutoka 12500 mpaka 20000.


Nawaomba mrudishe 12500 yangu nkanunue vingamuzi vya elfu 4000

Maamaa alinifundisha vyabure ggaramaa
 
Heri mimi sijazema na DigTek yangu no pressure, no payment na naona vizuriiii tatizo ni hapa hapa home tuu
Zaidi was Citizen at that time kabla na wao hawajaweka mgomo kwao
 
Mimi natafuta mteja wa King'amuzi cha Azamu hata kwa sh elfu 50 nitampa,nataka ninunue ungo wa kawaida nifunge nitapata free channel na nikiongeza vitovu viwili nitakamata channnel zaidi ya 80 bure zikiwemo za movies ,za mpira ,za dini NK,kama ni ligi za Tanzania nitakuwa naywea soda baa ya jirani yenye AZAM huku naangalia mpira.Hawana maana kabisa,badala ya kuboresha vifurushi na kupunguza bei ili wateja wawe wengi wao ndio wanazidi kupunguza channel na kuongeza bei,hata kama ni hela ya uchaguzi haitafutwi hivyo

kula 50 basi
 
kupandisha bei si tatizo sana,je kwenye hizo chaneli kuna vitu vya maana? tutona ligi kubwa za ulaya?
 
Back
Top Bottom