memory card
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 259
- 167
weee muogope Mungu wewe!!!
Haaa haaa haaaa haya bhana
weee muogope Mungu wewe!!!
azam wamepandisha bila taarifa na michaneel yao ni ya kiarabu tu. Cha maana ni hiyo ligi kuu ikiisha nyimbo za kiarabu na kihindi
Huo ndo wizi sasa au wewe unataka wizi wa aina gani
Channel nyingi kwenye Azam ni za bure,wewe hizo channel za kihindi zilizojaa humo analipia kwa nani,mbona karibu zote ni channel ambazo zinapatikana free?aweke kama supper spot 1 na channel kama hizo nido uongee haya unayoongea
wewe unahitaji muda kuelimishwa haya mambo,channel za bure ni zipi wakati yeye ananunua masafa TCRA na satelite?sasa kama channel za bure kwanini unaamua kuzitazama kwa kutumia decorder ya Azam badala ya kutega ungo uzipate zoote kutoka kwenye satelite?
hamia DSTV
hawa walijinadi kwa mbwembwe kuwa watapambana na Super Sport kutuletea ligi kubwa za ulaya kwa bei nafuu. mm bado nasubiri
wanaomboleza kupigwa cha nyuma na el merik
imefika 160,000 mkuuWameshusha bei sasa ni 99000 badala ya 147000
Azam tv ni jipu kila mtu analalamika saivAzam TV walisema wana aina moja ya kifurushi ambacho cost yake ni Tsh 12500. Leo bila ya taaarifa yoyote wanapandisha kutoka 12500 mpaka 20000.
Nawaomba mrudishe 12500 yangu nkanunue vingamuzi vya elfu 4000
Hao wana sifa gani kaka, na kuna chaneli gani Za hapa bongo? Na je usipolipia wanaacha chaneli ganiNina mpango wa kuuza king'amuzi changu cha ZUKU nijiunge na Azam, mnanifanya nijifikirie mara mbili.
Hicho kifulushi kuna chanel gani, mi nipo na azam nataka niende dstvNamalizia mwezi huu narudi kwenye DSTV yangu ya 17,000/= wanaongeza pesa kwa ile michanel yao ya bure hovyo kabisa.
Hao ZUKU hamna kitu kabisa, usipolipa zinakatwa zoteHao wana sifa gani kaka, na kuna chaneli gani Za hapa bongo? Na je usipolipia wanaacha chaneli gani