onene
Senior Member
- Jan 11, 2015
- 158
- 26
Hivi king'amuzi cha Azam pamoja na kidish ni sh. ngapi nahitaji kukinunua
Njoo nikuuzie changu kwa 70000
Hivi king'amuzi cha Azam pamoja na kidish ni sh. ngapi nahitaji kukinunua
Njoo nikuuzie changu kwa 70000
kula 50 fasta mkuu
Njoo nikuuzie changu kwa 70000
hamia DSTVJana ndio nimelipia cha 12500,leo wameongeza bei? Ama kweli tajiri hana urafiki na maskini,
mwezi ujao nahama azam.
Azam count me out in april
Ndugu VP umeshakiuza hicho kingamuzi nilikua nakihitaji kukinunua kama bado nicheki 0717675140
Azam TV walisema wana aina moja ya kifurushi ambacho cost yake ni Tsh 12500. Leo bila ya taaarifa yoyote wanapandisha kutoka 12500 mpaka 20000.
Nawaomba mrudishe 12500 yangu nkanunue vingamuzi vya elfu 4000
Watu wanataka vitu vizuri kwa ubwete..
Channel nyingi kwenye Azam ni za bure,wewe hizo channel za kihindi zilizojaa humo analipia kwa nani,mbona karibu zote ni channel ambazo zinapatikana free?aweke kama supper spot 1 na channel kama hizo nido uongee haya unayoongeaAzam anafanya biashara sio anatoa msaada,jamaa analipa kodi,na hana ruzuku,channel zake sio local.hawezi kununua channel kubwa za nje kwa bei kubwa halafu auze bei ndogo KWAHIYO SIO SAHIHI KUMUITA MWIZI.Kosa lake ni kutotoa taarifa mapema za bei mpya.
Dstv ndo mpango
hamia DSTV