Azam TV wanazingua

Mvua ikizidi hata DSTV inakata mkuu, huo ndio ukweli
 
Hii ni kweli kabisa....nipo Morogoro ila kamvua kadogo tu kakinyesha Azam huwapati....

Mpaka mtoto wangu mmoja akatania hata ikitokea akapanda juu ya bati akakojolea dish basi itakata

Wamenilazimu kipindi hiko cha mvua ku-activate subsription yangu ya Startimes walau nisikose habari wanapopotea hewani
 
Una bahati mkuu, hiyo dstv mvua ikinyesha ni shida hasa kipindi hiki cha masika,channel zinakata kabisa
 
Una bahati mkuu, hiyo dstv mvua ikinyesha ni shida hasa kipindi hiki cha masika,channel zinakata kabisa
Kaka Dstv habari nyingine kabisa, kama umeset dish signal strength and quality zikawa above 70% wewe hata mvua ya mawe uje anapiga mzigo, Mimi toka nimeanza kutuma nakaa ukanda wenye mvua sana Kilimanjaro lakini sijawahi kumbana na hicho kimeo cha kukata kata. Ndio mana tunalipa ghali usifikiri mchezo yani subscription ulipie 85,000 afu unilinganishe na wewe Wa 10,000 common meeeen.
 
Hili likapuni lina shida kweli, wafanye juu chini warekebishe, inaboa Sana manyunyu kidogo tu utasikia mikwaruzo na kuzimika, acheni hizo
 

Ndiyo pa kuhamia ' Dstv ' hapo Mkuu.
 
Natumia dstv toka 2009, nazungumza kutokana na uzoefu wangu.
 
Wasiliana nao/ huduma kwa wateja/ tumia Social media ku address malalamiko yako wako very active utajibiwa!
Kujibiwa siyo tatizo bali wanazingua,mvua kidogo tu tayari inakuwa kero hatuoni kitu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…