Azam TV waendelee kusimamia dondi

Azam TV waendelee kusimamia dondi

Mchawi ni yule bondia wa Mbeya aliyeidai fidia Azam fidia milioni 200 kwa sababu tu ya kutumia jina la VITASA, analosema alilibuni yeye. Baada ya Azam kumlipa, nadhani waliapa kutojihusisha yena na huo mchezo.

Angekuwa muungwana, angepotezea tu ili kuokoa mamia ya mabondia wenzake ambao kwa sasa wanataabika kwa njaa. Au wanemalizana kwa njia ambayo isingeleta hii sintofahamu.
 
Karibia mwaka sasa Azamtv wamesitisha ku promote ndondi...mpaka sasa wale mabondia wameanza kusahaulika...

Viongozi wa ndondi wakaiangukie Azam na kuweka michezo hiyo kwenye channel zake... vinginevyo hali itakuwa tete...

Wamlipe jamaa awape haki ya kuonyesha ngumi...idea ni fedha.
 
Mchawi ni yule bondia wa Mbeya aliyeidai fidia Azam fidia milioni 200 kwa sababu tu ya kutumia jina la VITASA, analosema alilibuni yeye. Baada ya Azam kumlipa, nadhani waliapa kutojihusisha yena na huo mchezo.

Angekuwa muungwana, angepotezea tu ili kuokoa mamia ya mabondia wenzake ambao kwa sasa wanataabika kwa njaa. Au wanemalizana kwa njia ambayo isingeleta hii sintofahamu.
Licha ya umuhimu mkubwa wa Azam kwenye NGUMI, ila jamaa yule hana kosa, amedai haki yake kisheria na ameshinda, angefanya nn zaidi!?
 
Licha ya umuhimu mkubwa wa Azam kwenye NGUMI, ila jamaa yule hana kosa, amedai haki yake kisheria na ameshinda, angefanya nn zaidi!?
Uko sahihi. Ila kwa Azam waliona kama wamepoteza hela nyingi. Na hivyo wakaona wakae tu pembeni. Na hapa sasa wanaoumia ni wengi zaidi.
 
Mchawi ni yule bondia wa Mbeya aliyeidai fidia Azam fidia milioni 200 kwa sababu tu ya kutumia jina la VITASA, analosema alilibuni yeye. Baada ya Azam kumlipa, nadhani waliapa kutojihusisha yena na huo mchezo.

Angekuwa muungwana, angepotezea tu ili kuokoa mamia ya mabondia wenzake ambao kwa sasa wanataabika kwa njaa. Au wanemalizana kwa njia ambayo isingeleta hii sintofahamu.
Azam nao wana shida. Ina maana wamshindwa kutafuta jina lingine au jamaa ndio ana hakimiliki ya ngumi kwenye TV?
 
Azam nao wana shida. Ina maana wamshindwa kutafuta jina lingine au jamaa ndio ana hakimiliki ya ngumi kwenye TV?
Kimsingi walisusa baada tu ya kutakiwa na Mahakama kumlipa yule bondia zile milioni 200 kutokana na kulitumia jina la VITASA, pasipo makubaliano ya pande mbili.
 
Mchawi ni yule bondia wa Mbeya aliyeidai fidia Azam fidia milioni 200 kwa sababu tu ya kutumia jina la VITASA, analosema alilibuni yeye. Baada ya Azam kumlipa, nadhani waliapa kutojihusisha yena na huo mchezo.

Angekuwa muungwana, angepotezea tu ili kuokoa mamia ya mabondia wenzake ambao kwa sasa wanataabika kwa njaa. Au wanemalizana kwa njia ambayo isingeleta hii sintofahamu.
Kama ndo hivyo basi itakuwa ngumu sana Kwa Azam kurudi
 
Back
Top Bottom