Azam TV tuondoleeni unyonyaji wa Multi-Choice (DSTV)

Azam TV tuondoleeni unyonyaji wa Multi-Choice (DSTV)

Azam kufikia level ya dstv sio leo wala kesho lazima wa own satellite yao wenyewe ili kuwahakikishia hao sky sport kama ulikua hujui dstv wanachukua matangzo toka sky sport na sky sport kukupa rights za kurusha matangzo hyo payment yake sio ya kitoto bob hyo lak yako unayolipa dstv huwex kuangalia mechi hta mbilz za epl
 
Dstv ana "rights" za kurusha matangazo ya mpira hapa,..kwa sasa ni ngumu kwa Azam media kupata hiyo "rights",labda baada ya misimu mingine miwili ya ligi. Pia anahitaji la kukua kwa "customer base" yake,hii itamuhakikishia kurudi kwa alichokiwekeza. Niliwahi kusikia kuwa wanajaribu kuomba kibali cha kurusha EPL kwa lugha ya kiswahili,tuwaombee Mungu huenda wakapata kwa njia hii. All in all wanahitaji support yetu watanzania.

Wakirusha kwa kiswahili itaboa, wafanye juu chini warushe kwa lugha zote, kama wakifanikiwa
 
Mbona nchi nyingine kama Nigeria bei yake si kubwa kama TZ
 
Malipo ya dstv ni kwa dola kwahiyo wao wanaangalia rate ya dollar then wanaibadilisha katika shilingi za kitanzania kwahiyo badala ya kuwaombea balaa dstv ombea dola ishuke

Yah ni kweli kinachotuumiza ni exchange rate ya $ kila siku...
 
Dollar imetoka 1650 hadi 1830 hivyo jua tu lazima bei ipande. Afu tatizo kubwa watanzania si waelewa hata kidogo. Hawajui kuwa tatizo sio dstv bali ni bank kuu yetu na dollar
 
Mbona nchi nyingine kama Nigeria bei yake si kubwa kama TZ
Nigeria NIRA yao hauwezi kuilinganisha ni Tanzania shilling wao wanauza sana nje mafuta na uagizaji wao wameucontrol kwa bidhaa ambazo ni nyeti sana scarcity ni kubwa hasa mitambo sasa utalinganisha na Tanzania inatoa dolla kununua toothpicks na hakuna cha maana mnachouza nje ni kwa namna gani shilling itaimarika?
 
Kikwete wakati anaingia madarakani dolla moja ilikuwa sawa na 900 ya kitanzania shilling.

Kikwete anaondoka madarakani dolla moja ni approximately 1900 shilling what a pathetic!
 
Juzi wateja wote wa Dstv walipata ujumbe juu ya ongezeko la gharama za huduma ya king'amuzi cha Dstv. Sasa kifurushi premium itakuwa kama 180,000 hivi. Naamini hawa jamaa wanapata jeuri na kiburi hiki sababu hawana ushindani hapa africa hasa kusini mwa jangwa la sahara maana upuuzi huu haupo nchi za kiarabu.
Tunaamini mnao uwezo wa kununua hati ya kurusha matangazo ya ligikuu ya england maana hii ndiyo siri ya kiburi chao. Hakika watanzania tutawaunga mkono 100%
Tuondoleeni huyu kaburu mnyonyaji.

https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=677042
 
Juzi wateja wote wa Dstv walipata ujumbe juu ya ongezeko la gharama za huduma ya king'amuzi cha Dstv. Sasa kifurushi premium itakuwa kama 180,000 hivi. Naamini hawa jamaa wanapata jeuri na kiburi hiki sababu hawana ushindani hapa africa hasa kusini mwa jangwa la sahara maana upuuzi huu haupo nchi za kiarabu.
Tunaamini mnao uwezo wa kununua hati ya kurusha matangazo ya ligikuu ya england maana hii ndiyo siri ya kiburi chao. Hakika watanzania tutawaunga mkono 100%
Tuondoleeni huyu kaburu mnyonyaji.

Tido Muhando na Yahaya Mohamed fanyieni kazi ushauri huu
 
Tusidanganyane bado Azamtv wana safari ndefu kuwafikia hao makaburu wa DStv,kwanza licha ya mpira wao wana channel nyingi nyingi kutoka kila pembe ya dunia,tatizo la Azamtv cahnnel zao nyingi ni bure kutoka hapo kwa wahindi na waarabu,na wakitaka nao wawe na channel kama za DStv itabidi waongeze gharama za kulipia kuangalia televisheni yao,na ndio maana hata sasa baada tu ya kuongeza hizo channel nfu za Liverpool Tv ,Real Madrid na NatGeo ya Historia/mazingira wameruka kutoka 12500 hadi 20000,tusidanganyike kila kizuri kina gharama yake,na msidhani kama Azamtv wakipata nafasi ya kuonyesha EPL na UEFA mtaona kwa hiyo TZS 20000,kwani nao ni wafanya biashara na pia watalipa fedha nyingi kupata haki ya kuonyesha na kama ilivyokawaida ya mambo ya masoko ,mlaji ndio mlipaji.
 
labda waongee na al-jazeera wawa ruhusu kuchukua kupitia kwao
 
Mbona mnawatetea makaburu na kugandamiza vya nyumbani?! ebu kuweni na uzalendo bhana,mi naamini kama kuna wa Tz wameweza kulipa izo laki kupata DSTV why not kwa Azam? tunachokiombea ni AZAM aje kuwa na rights za kurusha epl halafu nayeye hata akitoza laki tutalipa tuuuu...tukuza cha nyumbani
 
Azam Media, owned by Tanzanian conglomerate Bakhresa Group, is ramping up satellite capacity through a new transponder leased on the powerful Eutelsat 7B satellite.
Complementing capacity used on the copositioned Eutelsat 7A satellite, it will host new services for the rapidly growing AzamTV pay-TV platform.
Launched just 18 months ago, AzamTV counts 200,000 subscribers in Tanzania, Uganda and Kenya. The new capacity will enable AzamTV to extend its services to Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, South Sudan and Zimbabwe with additional content. Further expansion is planned using the company's state-of-the-art studio complex and headend facility in Dar es Salaam that was inaugurated on 6 March by Jakaya Kikwete, the President of Tanzania.
AzamTV is boosting its line-up of over 55 channels with a new offer called "Azam Reloaded", launched on 1 March and featuring a full decoder/dish kit for $55 and three package options.
Rhys Torrington, CEO of Azam Media, commented on the new contract: "Eutelsat's satellite capacity and unrivalled DTH experience enabled us to launch an exceptional entertainment offer at a great price. This new contract equips us with the resources to fast track our development and further enhance the services we offer subscribers across our target markets. It also paves the way for an acceleration of HD content that raises the bar for further quality."
Michel Azibert, Chief Commercial and Development Officer of Eutelsat, added: "AzamTV is one of the most exciting digital broadcasting ventures launched in Africa over the last 18 months. Compelling and attractively priced content, a strong retail network and high-power reach over Africa are the assets Azam has assembled to play its part in the digital broadcasting wave. We are delighted to be their chosen satellite partner and to see our 7° East position, occupied by two copositioned satellites, firmly rooted in Africa's TV landscape."

Source
 
Back
Top Bottom