kevin_mpindajr
Member
- Jan 27, 2015
- 51
- 10
Azam kufikia level ya dstv sio leo wala kesho lazima wa own satellite yao wenyewe ili kuwahakikishia hao sky sport kama ulikua hujui dstv wanachukua matangzo toka sky sport na sky sport kukupa rights za kurusha matangzo hyo payment yake sio ya kitoto bob hyo lak yako unayolipa dstv huwex kuangalia mechi hta mbilz za epl