Azam TV tuondoleeni unyonyaji wa Multi-Choice (DSTV)

ishobo

Member
Jan 3, 2014
16
10
Juzi wateja wote wa Dstv walipata ujumbe juu ya ongezeko la gharama za huduma ya king'amuzi cha Dstv. Sasa kifurushi premium itakuwa kama 180,000 hivi. Naamini hawa jamaa wanapata jeuri na kiburi hiki sababu hawana ushindani hapa africa hasa kusini mwa jangwa la sahara maana upuuzi huu haupo nchi za kiarabu.
Tunaamini mnao uwezo wa kununua hati ya kurusha matangazo ya ligikuu ya england maana hii ndiyo siri ya kiburi chao. Hakika watanzania tutawaunga mkono 100%
Tuondoleeni huyu kaburu mnyonyaji.
 
Juzi wateja wote wa Dstv walipata ujumbe juu ya ongezeko la gharama za huduma ya king'amuzi cha Dstv. Sasa kifurushi premium itakuwa kama 180,000 hivi. Naamini hawa jamaa wanapata jeuri na kiburi hiki sababu hawana ushindani hapa africa hasa kusini mwa jangwa la sahara maana upuuzi huu haupo nchi za kiarabu.
Tunaamini mnao uwezo wa kununua hati ya kurusha matangazo ya ligikuu ya england maana hii ndiyo siri ya kiburi chao. Hakika watanzania tutawaunga mkono 100%
Tuondoleeni huyu kaburu mnyonyaji.

AZAM media tunaomba mchukue rights ya kuonyesha ligi ya uingereza, ulaya na champions ligi msimu ujao, najua uthubutu wa kufanya ivo mnao ni suala la mangement kufanyia kazi suala hili ili mpate kuongeza wateja wengi zaidi.
 
kweli jamaa hawa wa DSTV wana exclusive rights Africa nzima, na mpira ndio roho yao, ni jambo la kuliombea sana muujiza utokee kwani hao makaburu kurudia kosa la walilofanya kwa GTV ni ngumu sana. Labda waanze taratibu kwa kuomba exclusive rights za kuonyesha Tanzania tu, ingawa bado itakuwa shida sana. Ila Azam TV ndio anaeonekana kuweza kupambana na hao DSTV hata kama itachukua 10 - 20 years endeleeni kujipanga AZAM TV!
 
Juzi wateja wote wa Dstv walipata ujumbe juu ya ongezeko la gharama za huduma ya king'amuzi cha Dstv. Sasa kifurushi premium itakuwa kama 180,000 hivi. Naamini hawa jamaa wanapata jeuri na kiburi hiki sababu hawana ushindani hapa africa hasa kusini mwa jangwa la sahara maana upuuzi huu haupo nchi za kiarabu.
Tunaamini mnao uwezo wa kununua hati ya kurusha matangazo ya ligikuu ya england maana hii ndiyo siri ya kiburi chao. Hakika watanzania tutawaunga mkono 100%
Tuondoleeni huyu kaburu mnyonyaji.

Azam tv wanaweza,wapo serious sana
 
Mi niko na Xmaster naangalia bureeee hapa nyumbani. Channel zote bila chenga..
 
AZAM media tunaomba mchukue rights ya kuonyesha ligi ya uingereza, ulaya na champions ligi msimu ujao, najua uthubutu wa kufanya ivo mnao ni suala la mangement kufanyia kazi suala hili ili mpate kuongeza wateja wengi zaidi.
Subiri wameshaweka kichwa kinatroti Dunstan Tido Muhando.namuamini kwa ku lobby
 
Yah kweli wajipange waanze walau na baadhi ya mechi kama walivyokuwa wanafanya star TV,naiamini timu ya Azam kwa shivi ukizingatia yupo Yahaya pale,Tirdo na Hugo mzungu CEO wao wawe na mikakati ambayo iko direct ili watu waone kwa macho
 
Dstv ana "rights" za kurusha matangazo ya mpira hapa,..kwa sasa ni ngumu kwa Azam media kupata hiyo "rights",labda baada ya misimu mingine miwili ya ligi. Pia anahitaji la kukua kwa "customer base" yake,hii itamuhakikishia kurudi kwa alichokiwekeza. Niliwahi kusikia kuwa wanajaribu kuomba kibali cha kurusha EPL kwa lugha ya kiswahili,tuwaombee Mungu huenda wakapata kwa njia hii. All in all wanahitaji support yetu watanzania.
 
Juzi wateja wote wa Dstv walipata ujumbe juu ya ongezeko la gharama za huduma ya king'amuzi cha Dstv. Sasa kifurushi premium itakuwa kama 180,000 hivi. Naamini hawa jamaa wanapata jeuri na kiburi hiki sababu hawana ushindani hapa africa hasa kusini mwa jangwa la sahara maana upuuzi huu haupo nchi za kiarabu.
Tunaamini mnao uwezo wa kununua hati ya kurusha matangazo ya ligikuu ya england maana hii ndiyo siri ya kiburi chao. Hakika watanzania tutawaunga mkono 100%
Tuondoleeni huyu kaburu mnyonyaji.

Tusubiri tu, lakini kumng'oa DSTV sio kazi ya kitoto...
 
AZAM TV ebu angalieni uwezekano hata kama itachukua miaka 3 ila mtakuwa mmetuokoa kwenye mikono ya hao PARASITE dstv,
 
Dstv ana "rights" za kurusha matangazo ya mpira hapa,..kwa sasa ni ngumu kwa Azam media kupata hiyo "rights",labda baada ya misimu mingine miwili ya ligi. Pia anahitaji la kukua kwa "customer base" yake,hii itamuhakikishia kurudi kwa alichokiwekeza. Niliwahi kusikia kuwa wanajaribu kuomba kibali cha kurusha EPL kwa lugha ya kiswahili,tuwaombee Mungu huenda wakapata kwa njia hii. All in all wanahitaji support yetu watanzania.

Ni kweli kabisa,
"The Premier League is pleased to announce that SuperSport has been awarded the live audio visual broadcast rights for all 380 Barclays Premier League matches per season for seasons 2013/14-2015/16 in South Africa, Nigeria, and Sub-Saharan Africa."
Source
 
Dstv wana haki ya kutoza hizo gharama bob kurusha ile satellite gharama yake sio ya kitoto xio vidubwana vine hv vya azam
 
  • Thanks
Reactions: Bob
Back
Top Bottom