Azam tv naapa lazima ntawashtaki

Mr mutuu

JF-Expert Member
Jan 27, 2023
2,323
11,389
Kuna ujinga unaendelea hii nchi tushafanywa kama wapuuzi, Azam vifurushi tushalipia Cha ajabu Kila siku za mechi mnatuletea ujumbe kana kwamba hatujalipa, ukipiga simu customer care wanakuambia upige *150*50*5# kuweza kupata huduma kama ushalipia, upuuzi ni kwamba Huduma Hio wanakata muda wa maongezi wa 500, bila jero huwezi kuactivate account yako.....

Jana mmenikata jero na Leo jero, na bado nalipia huduma zenu Kila mwezi.... Mshafanya biashara sio??? Mnachezesha network ili mkate jero jero zetu sio????

Ngojeni
 
WTF is this? Unaongelea Azam TV au Azam Application? Na nia ya kuandika humu ni nini hasa? Unadhani Azam wapo JF? Kwanini usiende kwenye vituo vyao ukaeleze matatizo yako uso kwa uso na uone watasemaje? Au unakuja na hitimisho without any sort of critical assesment nor logical thinking?

Anyways, good luck suing one of the biggest company in an entire East Africa. Such fukking ridiculous petty threats.

Sent from my G011A using JamiiForums mobile app
 
Hao ni matapeli mkuu
Kuna ujinga unaendelea hii nchi tushafanywa kama wapuuzi, Azam vifurushi tushalipia Cha ajabu Kila siku za mechi mnatuletea ujumbe kana kwamba hatujalipa, ukipiga simu customer care wanakuambia upige *150*50*5# kuweza kupata huduma kama ushalipia, upuuzi ni kwamba Huduma Hio wanakata muda wa maongezi wa 500, bila jero huwezi kuactivate account yako..... Jana mmenikata jero na Leo jero, na bado nalipia huduma zenu Kila mwezi.... Mshafanya biashara sio??? Mnachezesha network ili mkate jero jero zetu sio???? Ngojeni
 
Wengine hatujuwi mambo ya vingamuzi wala hatuna majumbani

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom