Tumekuwa tukishuhudia matangazo mengi ya runinga mbali mbali duniani yakiweka alama ya "live" kuashiria kuwa ni matangazo ya moja kwa moja.Lakini jambo hili limekuwa gum mno kwa Azam TV hasa pale wanapoonesha matangazo ya moja kwa moja ya ligi kuu Tanzania.Nafikiri ingekuwa bora wawaweleza wadau sababu ya kutoweka alama hiyo, lakini kesho yake au siku nyingine wanapoonesha matangazo hayo kwa kurudia inakuwa rahisi sana kwao kuweka neno " marudio ".Je, neno live kwa Azam lina mwiko gani ???.