makedonia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 4,361
- 3,654
Jana nimelipia kifurushi cha azam cha sh 23,000\= na channel zilifunguka vizuri..lakini leo asubuhi inaonesha kadi haiko sawa..nimewapigia kwa namba niliyoitoa kwenye screen wanasema nitoe kadi niifute kwa kitambaa laini lakini wapi...anayejua hii ni nini tupeane msaada tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app