Azam tv mnachokifanya hakivumiliki

Azam tv mnachokifanya hakivumiliki

Hilo badiliko hata mimi nimeliona. Kwa mfano leo hakukuwa na habari ya maana kuhusu UKAWA. Walionyesha tu Mbowe akieleza kitiu kuhusu mzee Makaidi. Wakati ule mkutano wa ccm kule unguja ulionyeshwa kiasi cha kutosha: wazungumzaji na nyomi la wasikilizaji.

Hisia zangu zinaniambia kwamba kati ya wanazi wa ccm pale azamtv ni Charles Hilary. Nasema hivi kwa sababu kuna siku walianza kuonyesha mkutano wa ccm wa magufuli. Haukuwa wa kusisimua sana. Baadaye wakaonyesha wa Lowassa. Ukafunika vibaya. Mwishoni wa taarifa ile nikamsikia Charles akisema wanarudia kuonyesha ule mkutano wa magufuli kwa sababu haukuonekana vema mara ya kwanza. Sababu ilikuwa ya uongo. Nadhani aliumia moyoni.

Naipenda sana Azamtv. Ila msinilazishe kukitupa king'amuzi chenu. Badilikeni.
 
We waache wataanguka anguko la star tv.
Wastuletee uchama interest zao badae ila wajitahidi ku equalize mambo ili tuwaalewa na kuwa amin
ITV big up Kiukweli mna kuelewa na mfano muigwe

Wana UKAWA mnajiongopea kweli,yani we kwa akili yako unatarajia STAR TV ishindwe kujiendesha kisa wewe umesusa kutizama?
 
Wapo watakaovunja Tv zao baada ya matokeo na wataanza kuwalalamikia samsung, panasonic, sony, singsung etc kuwa Tv zao ni mbovu na za sisiemu, hawa jamaa hawasomeki kabisa.

Hahahahah.. umenifurahsha mkuu.. ukawa wengi hawajielewi.. wenyewe kila kitu wanahisi wanaonewa sijui kwann hawajiamini
 
Azam Tv hiki mnachofanya hakivumiliki.

Wananchi tulianza kuwaamini sana kwa huduma zenu za matangazo ya televisheni. Taarifa zenu za habari na hasa Campaigns zilikuwa balanced kwa vyama vyote vikubwa vya siasa na hasa CHADEMA/UKAWA kwa upande mmoja na CCM kwa upande mwingine zilikuwa balanced bila bias yoyote.

Lakini kwa takribani wiki mbili zilizopita tunaona tofauti kubwa sana na hasa kwa upande wa mgombea urais wa,CHADEMA/UKAWA Mh. Edward Lowassa. Taarifa za mikutano yake hamzioneshi vizuri siku hizi na hata kama mtaonesha huwa camera zenu zinawakwepa umati wa wahudhuriaje ambao huwa ni wengi na badala yake mnaishia kuonesha high table tu.

Na kwa siku ya leo ndio mmetia fora kabisa. Licha ya kuacha kuonyesha mikutano ya Lowassa huko kanda ya ziwa lakini pia mmetunyima kusikia alichosema Mh. Freeman Aikael Mbowe juu ya Msiba wa M/kiti mwenza wa UKAWA Dr. Emmanuel Makaidi. Wakati mtangazaji anatangaza hiyo habari sauti ilikuwa inatoka lakini Mh. Mbowe alipoonyeshwa akitoa tamko la UKAWA kuhusu kifo cha Mh. Makaidi sauti ikakata. Ilipoisha habari ya Mbowe sauti ikarudi. Kwa kweli wana-UKAWA wameumia sana kwa hiki mlichotufanyia leo. Na hata hamkuomba radhi.!!!

Am sure Ndg. Tido Mhando ni mtu ambaye ni smart sana na huenda hajui hiki kinachotokea. Huenda anahujumiwa na mafundi mitambo na watangazaji wa Azam.

Azam tv kumbukeni kuwa mna wateja toka vyama vyote na wote wanalipa gharama sawa kila mwezi. Hivyo acheni kutakatisha tamaa wateja wenu. Kama imekuwa ikitokea kwa,bahati mbaya basi ni busara muwe mnaomba radhi.

MODS NAOMBENI MSIUFUTE UZI HUU KWANI TUNA HAKI YA KUONYESHA MASIKITIKO YETU KWA JF IS WHERE WE DARE TO TALK OPENLY.

ndo mnachokifanya kwenye ya kwenu ITV hivyo tulien
 
Azam Tv hiki mnachofanya hakivumiliki.

Wananchi tulianza kuwaamini sana kwa huduma zenu za matangazo ya televisheni. Taarifa zenu za habari na hasa Campaigns zilikuwa balanced kwa vyama vyote vikubwa vya siasa na hasa CHADEMA/UKAWA kwa upande mmoja na CCM kwa upande mwingine zilikuwa balanced bila bias yoyote.

Lakini kwa takribani wiki mbili zilizopita tunaona tofauti kubwa sana na hasa kwa upande wa mgombea urais wa,CHADEMA/UKAWA Mh. Edward Lowassa. Taarifa za mikutano yake hamzioneshi vizuri siku hizi na hata kama mtaonesha huwa camera zenu zinawakwepa umati wa wahudhuriaje ambao huwa ni wengi na badala yake mnaishia kuonesha high table tu.

Na kwa siku ya leo ndio mmetia fora kabisa. Licha ya kuacha kuonyesha mikutano ya Lowassa huko kanda ya ziwa lakini pia mmetunyima kusikia alichosema Mh. Freeman Aikael Mbowe juu ya Msiba wa M/kiti mwenza wa UKAWA Dr. Emmanuel Makaidi. Wakati mtangazaji anatangaza hiyo habari sauti ilikuwa inatoka lakini Mh. Mbowe alipoonyeshwa akitoa tamko la UKAWA kuhusu kifo cha Mh. Makaidi sauti ikakata. Ilipoisha habari ya Mbowe sauti ikarudi. Kwa kweli wana-UKAWA wameumia sana kwa hiki mlichotufanyia leo. Na hata hamkuomba radhi.!!!

Am sure Ndg. Tido Mhando ni mtu ambaye ni smart sana na huenda hajui hiki kinachotokea. Huenda anahujumiwa na mafundi mitambo na watangazaji wa Azam.

Azam tv kumbukeni kuwa mna wateja toka vyama vyote na wote wanalipa gharama sawa kila mwezi. Hivyo acheni kutakatisha tamaa wateja wenu. Kama imekuwa ikitokea kwa,bahati mbaya basi ni busara muwe mnaomba radhi.

MODS NAOMBENI MSIUFUTE UZI HUU KWANI TUNA HAKI YA KUONYESHA MASIKITIKO YETU KWA JF IS WHERE WE DARE TO TALK OPENLY.

Mshaanza kuweweseka na kuhaha, joto linawapanda kijasho chembamba kinawatililika, mmeshakosa ujasiri tayari magoti yanagongana. acheni kulalamika kama vimada tulieni wala msitingishike na mtanyooooooka tuuu.... kudadadeki!!!!!!
 
Hahahahaha sasa mkuu unataka uwafundishe watu kazi? Yaani watangaze unavotaka wewe? Kumbuka azam ni kampuni binafsi
 
Uzuri ni kwamba kila anayehujumu mabadiliko anapigwa laana kavukavu .
 
Ukawa hamuaminiki na mara zote ni watu wa rangi mbili,Naona unampaka mafuta Tido Muhando na kumsifia kwa maneno mazuri,lakini kuna siku mtamtukana na kumrushia maneno ya kashfa.Slaa mlimuita chaguo la Mungu lakini leo amefananishwa na kila kisicho na thamani,amedharirishwa na kushushiwa heshima yake.Kumsifu Tido kwa mwanaukawa ni unafiki wa dhahiri.
" wewe acha ujinga, Slaa kajimaliza mwenyewe, na kwa taarifa yako, kawaulize Star TV baada ya kampeni, kama watabaki barabarani..., Azam nao wanaelekea kujiahatibia credibility, huu ni wakati wa mabadiliko...kama huamini, tukutane tar 25 Oct
 
mbona nyie ukawa hamjiamini

yaani hamuishi kulalamika ovyoo
 
Kile kingamuzi cha azam ninacho nakitumia kuangalia mpira tu toka nimuone Gideon Shoo akiwa mchambuzi wa siasa na uwezo hana anadhani anauliza kama vile hajui kinachoendelea jimbo husika na kuponda upinzani kasoro ACT na yule mtangazaji wa uchaguzi majimboni kile sio standard ya Azam -hazungumzii hata matokeo ya serekali za mitta, kampeni zilivyo kwa sasa yeye ni matokeo ya 2010 tu AZAM fukuza hawa substandars kina Shoo na ba yake pale mwenge CCM AACHE KUTUZINGUA NAUZA KINGAMUZI NA DISHI VYOTE 3000 ELFU TATU TU

Msulibas kama upo serious niPM kwani kingamuzi changu kimeungua na generator...
 
Ukawa mmezidi kulalamika daah!! Mpaka mnatia huruma unataka Azam TV wakufurahishe wewe waweke hata maandamano ya africa magharibi waseme mafuriko ya Chadema.
 
Kile kingamuzi cha azam ninacho nakitumia kuangalia mpira tu toka nimuone Gideon Shoo akiwa mchambuzi wa siasa na uwezo hana anadhani anauliza kama vile hajui kinachoendelea jimbo husika na kuponda upinzani kasoro ACT na yule mtangazaji wa uchaguzi majimboni kile sio standard ya Azam -hazungumzii hata matokeo ya serekali za mitta, kampeni zilivyo kwa sasa yeye ni matokeo ya 2010 tu AZAM fukuza hawa substandars kina Shoo na ba yake pale mwenge CCM AACHE KUTUZINGUA NAUZA KINGAMUZI NA DISHI VYOTE 3000 ELFU TATU TU

Mkuu nakitafuta upo Mkoa gani
 
Azam Tv hiki mnachofanya hakivumiliki.

Wananchi tulianza kuwaamini sana kwa huduma zenu za matangazo ya televisheni. Taarifa zenu za habari na hasa Campaigns zilikuwa balanced kwa vyama vyote vikubwa vya siasa na hasa CHADEMA/UKAWA kwa upande mmoja na CCM kwa upande mwingine zilikuwa balanced bila bias yoyote.

Lakini kwa takribani wiki mbili zilizopita tunaona tofauti kubwa sana na hasa kwa upande wa mgombea urais wa,CHADEMA/UKAWA Mh. Edward Lowassa. Taarifa za mikutano yake hamzioneshi vizuri siku hizi na hata kama mtaonesha huwa camera zenu zinawakwepa umati wa wahudhuriaje ambao huwa ni wengi na badala yake mnaishia kuonesha high table tu.

Na kwa siku ya leo ndio mmetia fora kabisa. Licha ya kuacha kuonyesha mikutano ya Lowassa huko kanda ya ziwa lakini pia mmetunyima kusikia alichosema Mh. Freeman Aikael Mbowe juu ya Msiba wa M/kiti mwenza wa UKAWA Dr. Emmanuel Makaidi. Wakati mtangazaji anatangaza hiyo habari sauti ilikuwa inatoka lakini Mh. Mbowe alipoonyeshwa akitoa tamko la UKAWA kuhusu kifo cha Mh. Makaidi sauti ikakata. Ilipoisha habari ya Mbowe sauti ikarudi. Kwa kweli wana-UKAWA wameumia sana kwa hiki mlichotufanyia leo. Na hata hamkuomba radhi.!!!

Am sure Ndg. Tido Mhando ni mtu ambaye ni smart sana na huenda hajui hiki kinachotokea. Huenda anahujumiwa na mafundi mitambo na watangazaji wa Azam.

Azam tv kumbukeni kuwa mna wateja toka vyama vyote na wote wanalipa gharama sawa kila mwezi. Hivyo acheni kutakatisha tamaa wateja wenu. Kama imekuwa ikitokea kwa,bahati mbaya basi ni busara muwe mnaomba radhi.

MODS NAOMBENI MSIUFUTE UZI HUU KWANI TUNA HAKI YA KUONYESHA MASIKITIKO YETU KWA JF IS WHERE WE DARE TO TALK OPENLY.

Weka ushahidi wa clip hapa tuone basi.
 
Afadhali mmeanza kabisa mazoezi ya kulalamika ili tarehe 27 ikifika muwe na uzoefu wa kulalamikia Tume.
 
Back
Top Bottom