AZAM TV Mjitafakari na Bei Zenu za Ving'amuzi, DSTV Wameamua

Kwa kifurushi cha 20k tu kupitia azam Tv naangalia ligi ya Bundesliga kumuona Robert Lewandowski, Ligue 1 kumuona Neymar na Messi, EFL kumuona Ronaldo na Bruno Fernandes, NBC kumuona Clotous Chama pale Simba jinsi anavyo drible mithili ya PlayStation.

Na hata nikishindwa kulipia kifurushi mwaka mzima kila Jumamosi nitaona mechi moja ya Epl bureee kupitia UTV na hata mechi za CAF nitaziona bure kupitia ZBC2 na UTV na channel zingine za buree kibaaao.

Aise Azam Tv ni burudani kwa wote mzeiya
 
Kifurushi cha 9000 Dstv naangalia,,, TBC1,EATV, Aljazeera, Ch 10, TVE, na makolokolo kibao,,,, Bado watoto wanaangalia katuni. Nikiwekaga 21000 ni balaa tupu zaidi ya hiyo Azam ya 35000
Hizo channel zote ulizotaja kuwa unazipata kwa kulipia 9k DSTV kwa Azam unazipata buree
Kumbe huko DSTV mnazilipia? Ha ha ha kweli said salim ni mnyama sana
 
Wengi hawaelewi wanadhani bei zimewekwa hovyo..

Iko hivi, bei ya kuinstall Azam tv iko juu sababu demand yake ipo juu sokoni kuliko kuinstall Dstv..
Zingatia ni demand na si ubora wa king'amuzi unaodetermine installation cost. Maana yake ni kuwa wateja wengi wako tayari kununua Azam tv kwa 210k kuliko kununua Dstv kwa 59k kutokana na sababu mbalimbali.
na ndio maana Azamtv installation cost ipo juu zaidi ya Dstv anayezidi kupunguza bei ili kuvutia wateja wapya wengi zaidi..
Chukulia mfano leo hii CANAL+ au BEIN SPORTS aingie kwenye soko la ving'amuzi hapa Tanzania, bila shaka bei za ving'amuzi vyao itapanda mara dufu(by a certain factor of magnitude above their respective market prices) sababu wateja wengi wa EPL na UEFA watavikimbili kama njugu. Hii pia itasababisha Dstv apunguze bei za monthly subscription bundles ili kulinda wateja wake wasiwahame.

It's purely nguvu ya soko inayodetermine.
Sio kweli,ishu hapa ni kuwa dstv ni kampuni kubwa na ya muda mrefu na wana soko Africa nzima hivyo inauwezo wa kushusha gharama zake za Installation hata wakatoa bure kabisa na wasiathirike lakini Azam wao bado ndo wanakua hawana luxury ya kupunguza gharama kwa sababu hawana namna ya kucompensate hiyo cost.
 
Baada ya zoezi la kurudisha channel za nyumbani (local channels) katika king'amuzi cha DSTV bei yao ya kufunga king'amuzi kipya kuwa 59,000/ huku AZAM wakibakia na bei ya king'amuzi kipya kuendelea kuwa 210,000/ tunaliona anguko la AZAM Katika kuendelea kupata wateja wapya.

Ni wakati wa watu wao wa marketing na production kujiuliza jee bei zenu zinalingana na hali ya soko?
Na kwanini wenzenu wa DSTV (ambao ving'amuzi vyao ni bora zaidi) wameweza kwenda na bei ya soko nanyi mnashindwa?

Isiwe watu wenu wanakaa tuu maofisini na kupokea mishahara mikubwa bila kujua hali halisi ya sokoni.

View attachment 2121910
Achana Nao watajuju
 
Niache hizi nikae naangalia sinema zetu?

20220221_085835.jpg
 
Sio kweli,ishu hapa ni kuwa dstv ni kampuni kubwa na ya muda mrefu na wana soko Africa nzima hivyo inauwezo wa kushusha gharama zake za Installation hata wakatoa bure kabisa na wasiathirike lakini Azam wao bado ndo wanakua hawana luxury ya kupunguza gharama kwa sababu hawana namna ya kucompensate hiyo cost.

Sio Kweli...
 
Hahahahahah Azam bado kitabakia kuwa king’amuzi bora tu dhidi ya dstv
Azam ni kingamuzi bora kwa channel gani ambazo zinaizidi dstv?,.Dstv ni the best na ni world wide ila kama pesa yako yakulipia kifurushi niya mawazo lazima ukione ni mzigo.Mchawi hapa ni pesa wala sio ubora wa azam dhidi ya dstv.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
hivi visimbuzi Mimi kwa mtazamo wangu naona inategemea na mtazamaji ana interest ya kuangalia Nini kwa mfano kama ni mpenzi wa ligi ya Tanzania azam lazima ihusike na ligi za ulaya ni DStv
 
hivi visimbuzi Mimi kwa mtazamo wangu naona inategemea na mtazamaji ana interest ya kuangalia Nini kwa mfano kama ni mpenzi wa ligi ya Tanzania azam lazima ihusike na ligi za ulaya ni DStv
Pia kama hana mahusiano mazuri na lugha ya malkia
 
Hatimaye yametimia leo Dstv sio tu kurud kwa chanel wameamua kuziacha ziwe bure kabisa hata mtu asielipia hili ni pigo kubwa azam wajipange tu kwa kweli
 
Mimi nina king'amuzi cha Azam hata mwezi hakijaisha but I'm not enjoying it, but nadhani ni kwasababu sio mpenzi wa soka la bongo and I'm not used to Indian and arabian tradion kitu ambacho naona Azam yeye kwenye foreign chanels zake kabase huko na hata tamthilia anazozionyesha azam two anacheza na turkish series na indian series ambapo kwangu mi ni chenga tu, kwenye entartainment huwa napenda series za kifilipino na kikorea mixer na WWE pamoja na soka la Europe in general so kwahawa Azam naona kama nimeingia cha kike.
 
Mimi nina king'amuzi cha Azam hata mwezi hakijaisha but I'm not enjoying it, but nadhani ni kwasababu sio mpenzi wa soka la bongo and I'm not used to Indian and arabian tradion kitu ambacho naona Azam yeye kwenye foreign chanels zake kabase huko na hata tamthilia anazozionyesha azam two anacheza na turkish series na indian series ambapo kwangu mi ni chenga tu, kwenye entartainment huwa napenda series za kifilipino na kikorea mixer na WWE pamoja na soka la Europe in general so kwahawa Azam naona kama nimeingia cha kike.
Liuze tu uzuri now kwa sasa ukitangaza linatoka mzee udake dstv kisha tunza buku kila siku kama kipato cha mashaka mwez ukiisha ongeza 20hii package ya compact ni unyama sana mzee ata bomba ni kwikwi
 
Back
Top Bottom