Ukute wanataka kupandisha bei za vufurushi,Wamewakopesha
hivi hao watu wako na akina zukuNa wenye STARTIMES wawashe ngapi ngapi wenye kisimbusi hiko mjurishane Leo wameamua watoe hofa,
Ee huku mkoani karibu kila nyumba 🫢hivi hao watu wako na akina zuku
Kesho wakipiga simu kukuliza kwani uliunga kifurushi cha muda gani unawaambia niliunga cha mwezi hebu wasinitanie ngoja niwapigie azam simuKumbe ndio ivo.
Jana napigiwa simu na wazee wangu, umetuungia kifurishi cha AZAM, tunashukuru ahsante sana.😁😂
uone kampeni za mama anajaza nyomiMimi kabisa? Nilipie king'amuzi? Ili nione nini kwa mfano?
Kumbe ulikuwa na zile FTA. Wamewakopesa mtalipia, hamna vya BURE mjiniTangu jana mbona iko hivyo, nilijua pekee angu nimepewa offer, kumbe wotee.
Hapo kweliiKumbe ulikuwa na zile FTA. Wamewakopesa mtalipia, hamna vya BURE mjini
Ulinunua tv kwa ajili ya nini?Mimi kabisa? Nilipie king'amuzi? Ili nione nini kwa mfano?