The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,280
Ilishatangazwa siku nyingi kwamba Azamtv ni pay tv. Nyie mnaelewa maana ya pay tv?
Kuna mdau hapo juu kasema startimes wanatumia antenna tu. Si kweli. Sasa hivi wana ving'amuzi vinavyotumia dish pia. Yaani wana satellite tv.
Kuna mdau hapo juu kasema startimes wanatumia antenna tu. Si kweli. Sasa hivi wana ving'amuzi vinavyotumia dish pia. Yaani wana satellite tv.