Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,129
- 9,678
Baada ya Dstv kupandisha vifurushi vyake mwezi septemba, nimedokezwa muda wowote kuanzia sasa, AzamTv nae atapandisha vifurushi vyake, kile cha kuona mpira elfu 20 sasa kuwa 25! Ni matokeo ya mlolongo wa kodi walizopanfishiwa. Je tutafika?