Azam TV ipo shida ?

Azam TV ipo shida ?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,456
Reaction score
11,517
Niko naangalia la liga hapa ñaona kama inascratch inaleta mawimbi, na hata mchana niliona kwenye MECHI ya al nassr Hilo tatizo, lakini za CHAN hazina shida.

Ni king'amuzi changu au kuna mwingne kaliona Hilo?
 
Ni kweli kina shida kwa channel za nje.inabidi wataalam wao wafanyie kazi mimi mwanzo nilidhani Tv yangu ni mbovu.
 
Back
Top Bottom